Kwa ma-atheist

Kwa ma-atheist

Hoja za atheists hazina nguvu kwa sababu nao wanaamini kwamba Mungu hayupo ila hawana uhakika/ushahidi wa yeye kutokuwepo. Je wanaweza kututhibitishia kwamba Mungu hayupo?
 
Mkuu una Mess up vitu,Albert ni Theoretical physcist wakati N.tesla ni Experimental physicist.Vitu viwili tofauti

Yaani ni sawa na kumlinganisha Donald trump na Tiger wood

But all in all,N.tesla anaweza akawa juu zaidi kwasababu jina la Einstein Limekuzwa zaidi na Media za America zinazo milikiwa na Jews
Einstein huwezi mkubali kamwe maana alikuwa anaamini uwepo wa MUNGU.
 
Ngoja nikae vema niongeze maarifa zaidi, nimejiapiza kutounyima ubongo wangu maarifa
Atheism ni kitu kinachochanganya wengi huku wengine wakiihusisha na satanism na leciferianism wengine na dini za kiasili
Kwahiyo kwa post hii ni vena atheism ikachambuliwa na kujadiliwa katika misingi yake kuliko kuichanganya na imani nyinginezo
Nimekaa kiti cha mbele
 
1540ecfa917d481118e9cc546a9b109d.jpg
a very very complicated and confusing doctrine?
 
OK, nimekupata mkuu! Je, ni vitb gn hvyo mkuu?!
Chochote kitakacho kuwa mbele yako... Ila kama haujazoea itakuwia ngumu sana..
Kwa kuanzia unaweza kutafuta novels fupifupi.. Maana zitakumotivate, let's say novels za sir Arthur Conan Doyle.. zile za sherlock holmes... Then unakwenda kwenye vigumu kidogo vya akina richard dawkins.. Nk.
 
Kuwa atheist kunahitaji kitu fulani kisiwe sawa kichwani.
Kwa sababu wanasema wao hawataki kuamini wanataka kujua sielewi unawezaje kujua pasipo kwanza kuamini juu ya uwezo wako na imani ya kuwa mazingira au kitu unachotaka kujua kina namna ambayo itakuwezesha kutafiti na kujua ukweli halisi maana kama kinabadilika badilika inakuwa ni ngumu sana kuweza kijua
Kumwondoa Mungu katika design ya universe kunahitaji imani kubwa sana. Kwa kuwa unatakiwa uamini kwamba kutoka mindless unaweza kupata mind na kuitumia kutambua matokea ya mindful iliyosababishwa na mindless.
Kuna mwanasayansi nguli kwa ujuha ameandika kitabuni kwamba "uwepo wa laws of gravity kinafanya uhitaji wa muumbaji usiwepo kwa kuwa laws of gravity zinaweza kufanya kile ambacho inasemekana kufanywa na Mungu. Wajanja tunajiuliza huyu mtaalam wa theoretical physics kweli mukichwa muko salama ?
Sheria haiumbi chochote bali hueleza kilichpo kwa msingi fulani Tu.
Ni aina ya ulimbukeni MTU mzima kihoni kuhusu Mungu kwa kuwa Tu kuna energy
 
Ambaye hana hofu yoyote anaweza kufanya chochote, na anayeweza kufanya chochote hawezi kuwa mwema.
Mbona hao walio na hofu ndio wataalam wa kufanya mabaya ?! Rejea US mass shootings zote zinazotokea wahusika huwa wanajinasibisha na aethism or theism ?!
Hata hitler mwenyewe alisema kabisa kuwa anaamini kuwa kwa kitendo cha kuwaua wayahudi ilikuwa anafanya kazi ya mungu ![emoji57] [emoji57]
 
Mbona hao walio na hofu ndio wataalam wa kufanya mabaya ?! Rejea US mass shootings zote zinazotokea wahusika huwa wanajinasibisha na aethism or theism ?!
Hata hitler mwenyewe alisema kabisa kuwa anaamini kuwa kwa kitendo cha kuwaua wayahudi ilikuwa anafanya kazi ya mungu ![emoji57] [emoji57]
Kuclaim kufanya kazi ya mungu na kufanya kazi ya mungu ni vitu viwili tofauti. Anayefanya kazi ya Mungu ataonekana kwa matendo yake na hata bila kusema utasikia watu wenyewe wanasema hakika huyu ni mtumishi wa mungu. Ambao matendo yao ni tofauti na matarajio ya watu hao wamegeuza jina la mungu kichaka cha kuficha uovu wao, hivyo ni sawa na ambao ulisema hawana hofu yoyote.
 
Kuclaim kufanya kazi ya mungu na kufanya kazi ya mungu ni vitu viwili tofauti. Anayefanya kazi ya Mungu ataonekana kwa matendo yake na hata bila kusema utasikia watu wenyewe wanasema hakika huyu ni mtumishi wa mungu. Ambao matendo yao ni tofauti na matarajio ya watu hao wamegeuza jina la mungu kichaka cha kuficha uovu wao, hivyo ni sawa na ambao ulisema hawana hofu yoyote.
Kwa mfano crusade na jihad zilikuwa kazi ya mungu au ya binadamu ?!
 
Kwa mfano crusade na jihad zilikuwa kazi ya mungu au ya binadamu ?!
That is obvious. They will be seen by the type of fruits they yield. You cant kill on behalf of God, since one of the laws of God is that, "DONT KILL"
 
That is obvious. They will be seen by the type of fruits they yield. You cant kill on behalf of God, since one of the laws of God is that, "DONT KILL"
Haujajibu swali langu..[emoji57] [emoji57]
 
Back
Top Bottom