Kwa nini unaamini kitabu kinachojipinga chenyewe kama kitabu kitakatifu?kianzirishi n Muumba mbingu na dunia yaan Mungu... wakolosai 1:15-17
inasema... Naye n mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliw wa kwnz wa viumbe vyote. kw kuw ktk yy vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbingun na vilivyo juu ya nchi, viavyoonekana na visivyoonekana; ikiw n vitu vya enz, au usultan, au enz, au mamlaka; vitu vyote viliumbw kw njia yake, na kw ajili yake. naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana ktk yy.
Mungu ni nini?Hujajibu nilichokuuliza....
Unamjuaje Mungu kiasi kwamba hawezi kuwa "vianzilishi"?
Mkuu unajisumbua tu hapo hizo jamaa hazitaelewa hata kwa million light years.. Hapo dawa ni kuwaacha na ujinga wao[emoji57]Mungu ni nini?
How can a primary mover be in the plural?
Hujajibu critique yangu ya dhana nzima ya uanzilishi.
If a perfect god existed, nothing but nothing would exist.a very very complicated and confusing doctrine?
Ooh,If a perfect god existed, nothing but nothing would exist.
Something exists.
A perfect god does not exist.
Kiranga said:What is the most perfect state of perfection?
Wewe ndio ulikuwa wa kwanza kuleta hii term hapa hivyo wewe ndio unapaswa ujibu hili swali lakoMungu ni nini?
Inaonekana wewe unaijua vizuri sana hii "primary mover' kiasi kwamba unajua haiwezi kuwa katika wingi,kwanini usituhabarishe vile ambavyo haiwezekani?How can a primary mover be in the plural?
Hii nilishaijibu na unajua kabisa kuwa nilishaijibu na ukaleta swali lingine ambalo nalo umeona limekuwa mzigo kwako wewe mwenyewe....Hujajibu critique yangu ya dhana nzima ya uanzilishi.
Umeonyesha udhaifu wako!Kwa nini ukubali kitabu chenye maandiko yanayojipinga?
Wewe ndiye uliyeonyesha udhaifu kwa kutojibu.Umeonyesha udhaifu wako!
Indeed. Anything deviating from perfect nothingness -even in the strictly non physical informational sense - would only increase entropy and hence decrease perfection.Ooh,
The central tenets of your argument are based on this question
Are you believing that,nothing is the most perfect state of perfection?
To the contrary, wanyama wanaomba. Kuna researchers wame document religiosity in animals.Kwahiyo ninyi ma atheist huwa mnalala hata hamuombi na mnaamka kama nyoka pangoni
nafkir mr kiranga una kitu kizur cha kuweza kushea na ss ili tuweze kujua maana yawezekana dunia tunayoijua ss iko tofaut na unayoijua ww na wengne... plz naomba uwekewaz kile unachokijua na kukiamin na ss tupate kufaham.To the contrary, wanyama wanaomba. Kuna researchers wame document religiosity in animals.
Kwa hiyo hapa cha kusema labda ni kwamba wanaoomba mungu ndio wako karibu zaidi na wanyama hawa kuliko walio dismiss na ju transcend the god idea.
Sijui kama nina kitu kipya, ingawa hata hicho kinaweza kuwa kipya kwa baadhi.nafkir mr kiranga una kitu kizur cha kuweza kushea na ss ili tuweze kujua maana yawezekana dunia tunayoijua ss iko tofaut na unayoijua ww na wengne... plz naomba uwekewaz kile unachokijua na kukiamin na ss tupate kufaham.
cc juve2012
If there are that many reasons and you can't even mention one, you give us reason to pause.There are more Million reasons to prove God's existance and many more to show science failure to explain basics pf life.
Amen.Mtajidanganya sana ..Hakuna binadamu aliweza kutengeneza kitu(Manufacture) zaidi ya kuunganisha vitu (Assembling) alivyopewa na Mungu alafu anakuja na neno Sayansi.
MUNGU alipoumba hii Dunia alisema imekamilika sababu aliweka kila kitu chini ya ardhi hata hiyo simu yako jarib kufikir Raw materials zinatoka wapi..?
Binadam tofauti na viumbe wengine alipewa uwezo wa kutawala na kutumia mazingira yanayomzunguka kwa manufaa yake..KAMA kuna sayansi inaweza kutengeneza kitu chochote Duniani BILA KUTUMIA Natural resources then mtu atoe orodha ya vitu hiyo.
TUWE MAKINI NA HAWA WAABUDU SHETANI KUJARIB KUPOTOSHA UWEZA WA MUNGU..Jiulize kwa nini hakuna kundi la watu wanaopinga uwepo wa SHETANI..?
Kama hawajatumwa kuja kupoteza kizazi hiki kwa imani zao..?
Hata Atheism ni imani tu,ambayo inapaswa kuhojiwa pia.Kiranga said:Kitu cha kwanza cha msingi kabisa ninachosisitiza mara nyingi hapa ni kwamba, imani yoyote inaruhusiwa na haijadiliki. Ukikubali mungu wako ni mti, sawa.
Ila utakaposema mti huo ni mungu wa kweli ulioumba ulimwengu wote, ni lazina tuhoji.
Na njia moja ya kuhoji ili kutenganisha ukweli na uongo ni kutafuta contradiction. Kitu kinachojipinga chenyewe hakiwezi kuwa cha kweli.
Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye
Hivyo
Kiranga said:If science fails to explain basic life as you mentioned, that doesn't prove god exists
You have it backwardScience can fail in a world that god does not exist.
If life didn't happen by chance,then it must have a designerYour argument is a logical non sequitur, if science fails to explain basic life, it does not follow automatically then that life must be created by god.