Kwa ma-atheist

Kwa ma-atheist

rugilandavyi

Member
Joined
Apr 2, 2014
Posts
12
Reaction score
11
Nilikuwa sijawahi kukutana na atheists wakitanzania wazuri katika mada kiasi nilichokiona humu, mimi siamini katika uwepo wa mungu naaiamini saaana sayansi kwani imenifungua akili kuujua ulimwengu.Big up sana fellow atheists of Tanzania.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wenzio wanatafsiri neno imani kuwa ni jambo la uongo au kitu ambacho hakipo,hivyo unaposema unaamini kitu fulani kwao ni sawa na kusema kuwa unakubaliana na kitu ambacho hakipo,nimeona nikupe na hiyo kama sifa moja ya uzuri wao katika mada.

Lakini pia mkuu kuna kitu sijaelewa,kujua ulimwengu kwa kusoma sayansi kuna husiana vp hadi wewe kuwa atheist?
 
Nilikuwa sijawahi kukutana na atheists wakitanzania wazuri katika mada kiasi nilichokiona humu, mimi siamini katika uwepo wa mungu naaiamini saaana sayansi kwani imenifungua akili kuujua ulimwengu.Big up sana fellow atheists of Tanzania.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Wewe huamini uwepo wa Mungu ila unaamini sana sayansi.Hebu naomba utujuze ASILI/CHANZO ya sayansi,maana hata hao wanasayansi nguli hiyo sayansi wameikuta.
 
HORSE POWER........Science is a study/understanding of our nature and reality,as far as we know,500 years of doing science hakuna supernatural event ever been detected.......so the existence of God(s) is something of a myth and fairy tale
 
Hello godless folks,heretics,heathens,Atheists,Agnostics,humanists,freethinkers,skeptics.....mambo vp

Nawapa salama wote,na kuwafahamisha tuko kwenye hii society
 
HORSE POWER........Science is a study/understanding of our nature and reality,as far as we know,500 years of doing science hakuna supernatural event ever been detected.......so the existence of God(s) is something of a myth and fairy tale

Sayansi ni elimu ya kutambua asili yetu na uhalisia.Sijakataa.Asili ya sayansi ni nini au nani au wapi kwa sababu hao wanasayansi hiyo sayansi wameikuta;yaani ni kwamba wanafanyia tafiti kitu ambacho kipo.
 
Sayansi ni elimu ya kutambua asili yetu na uhalisia.Sijakataa.Asili ya sayansi ni nini au nani au wapi kwa sababu hao wanasayansi hiyo sayansi wameikuta;yaani ni kwamba wanafanyia tafiti kitu ambacho kipo.

Do you want to know Origin of Science as word or as Field?
The word science itself came from latin language which means knowledge
But Evolution of science as Field or rational way of reasoning and discovering,is traced back to Ancient Greek's philosopher called Aristotle,the Founder of science.

If you are Intellectually honest to accept the Evidence,please visit this Page.
ORIGIN OF SCIENCE
 
Do you want to know Origin of Science as word or as Field?
The word science itself came from latin language which means knowledge
But Evolution of science as Field or rational way of reasoning and discovering,is traced back to Ancient Greek's philosopher called Aristotle,the Founder of science.

If you are Intellectually honest to accept the Evidence,please visit this Page.
ORIGIN OF SCIENCE

Mkuu science haina founder mmoja tu Aristotle mwenyewe alikuta baadhi ya vitu vimeshakuwa noted afu hakufanya miracle sana kama Miles of Thales so science imeanza muda katika jamii zote yani uhai ulivyo exist tu na science ikazaliwa
 
Mkuu science haina founder mmoja tu Aristotle mwenyewe alikuta baadhi ya vitu vimeshakuwa noted afu hakufanya miracle sana kama Miles of Thales so science imeanza muda katika jamii zote yani uhai ulivyo exist tu na science ikazaliwa

Mkuu nimesema hivyo kwasababu.
Aristotle alikuwa tofauti ya wanafalsafa wengine.
Yeye ndiye aliyesema kuwa ili Nadharia ikubaliwe lazima iwe verified na Experiment
Na Experiment ndiyo Msingi mkubwa wa science.
scientific society inamtambua yeye kama Mwanasayansi wa kwanza.
 
Mkuu nimesema hivyo kwasababu.
Aristotle alikuwa tofauti ya wanafalsfa wengine.
Yeye ndiye aliyesema kuwa ili Nadharia ikubaliwe lazima iwe verified na Experiment
Na Experiment ndiyo Msingi mkubwa wa science.
scientific society inamtambua yeye kama Mwanasayansi wa kwanza.
Umesomeka kiongozi
 
Tesla hata kwa Age kampita Einstein nafikiri utafute mambo waliofanya utagundua N.Tesla yuko juu


Mkuu una Mess up vitu,Albert ni Theoretical physcist wakati N.tesla ni Experimental physicist.Vitu viwili tofauti

Yaani ni sawa na kumlinganisha Donald trump na Tiger wood

But all in all,N.tesla anaweza akawa juu zaidi kwasababu jina la Einstein Limekuzwa zaidi na Media za America zinazo milikiwa na Jews
 
Mkuu una Mess up vitu,Albert ni Theoretical physcist wakati N.tesla ni Experimental physicist.Vitu viwili tofauti

Yaani ni sawa na kumlinganisha Donald trump na Tiger wood

But all in all,N.tesla anaweza akawa juu zaidi kwasababu jina la Einstein Limekuzwa zaidi na Media za America

Mkuu hata N.Tesla pia ame theorized vitu mingi tu pia N.Tesla alifika chuo kikuu japo alifukuzwa .sijajua kwa Albert kwa inshu ya imagination Wanaweza kuwa equal mana Tesla alikuwa anaanza ku imagine then ndo ana sketch diagram na kuunda kitu, Tuanze kuweka vitu walivyo patent?
 
Mkuu hata N.Tesla pia ame theorized vitu mingi tu pia N.Tesla alifika chuo kikuu japo alifukuzwa .sijajua kwa Albert kwa inshu ya imagination Wanaweza kuwa equal mana Tesla alikuwa anaanza ku imagine then ndo ana sketch diagram na kuunda kitu, Tuanze kuweka vitu walivyo patent?

Tesla Senior,Siku zote Experimental physicist yupo juu zaidi.Kwasababu theory inaweza kukosolewa lakini huwezi kukosoa Devices kama Electric Motor au A.C

Hebu pitia hapa uone hoja zao.
TESLA VS EINSTEIN
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom