Kwa mabinti waaminifu mlioko chuoni na mnaoelekea chuoni

Kwa mabinti waaminifu mlioko chuoni na mnaoelekea chuoni

Miss hael

Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
65
Reaction score
109
Natumai mko salama,

Leo nawiwa kuwaandikia haya enyi mabinti wenye nia ya kuutunza usichana wenu hata kama uko chuo au unatarajia kuingia huko.

Fanya yafuatayo kama hutaki uasherati chuoni.
1. Hakikisha una marafiki wa kike na wakiume kwa vyovyote lazima wawe na tabia kama zako au ziendane angalau kidogo, hawa wakiume watakustiri, wale nzi watakuwa wanajua ni wapenzi.

2. Uwe msiri, narudia tena uwe msiri kwa vitu vyako vya faida, kama wewe ni bikra katu usimwambie mtu hata kama unamwamini kiasi gani.

3 . Wakati marafiki zako wanapiga stori za ngono usiijitenge, changia mada kama vile wewe ndiyo mzoefu kuliko wao.

4. Kama una boom, hakikisha unaweka akiba yakukutosha mpaka boom lijalo, ukiishiwa bahati mbaya tafadhali omba nyumbani au kwa ndugu. Usiombe kwa rafiki yako, awe wa kike au wa kiume.

5. Jiheshimu katika mavazi na usali sana.
 
Mwaka juzi binti niliyekubaliana kuoana naye na kuwa naye kwa miaka 4 alienda chuo,aisee semester ya 1 tu mimba. Halafu akatelekezwa then akarudi kuomba msamaha. Nilimwambia nimekusamehe, nikafuta namba sijui sasa yupo wapi?
 
Mungu awe wa kwanza hayo mengine yafuate
Chuon kuna peer pressure ya ovyo sana kama una akili za kushikiwa
Wakora lazima wapite na wewe
Wakora wenyewe ndiyo hawa
Mzabzab
Deeppond
Rikboy
National Anthem
Ritz
Usser
johnthebaptist
Gentamycin
Wahuni hawa jamaa
Ewe binti linda bikra yako epuka wahuni
 
Hiyo ni uongo bana.. Hakuna binti wa chuo aliyeweza kutunza bikra mpaka kufikia miaka 23.. wakati kile kituo kikuu pale Mwanza kinawasumbua na wako free muda wote chuo.. Achana na ile stendi kuu ya Mwanza ni sheeedaaaa..
 
Atoboi nimekaa paleee nakunywa balimi ,kuna binti mmoja alikuja na bikra yake alikuwa muoga ukimwangalia tu u ajua huyu hajaguswa na kweli akautna na mshkaji utani utani jamaa akamla ,ila saiv washaoana na wana mtoto ,yani ile intake wengi walioana sijui ni nadharia gani hii
 
Natumai mko salama
Leo nawiwa kuwaandikia haya enyi mabinti wenye nia ya kuutunza usichana wenu hata kama uko chuo au unatarajia kuingia huko ,

Fanya yafuatayo kama hutaki uaherati chuoni.


1.Hakikisha una marafiki wa kike na wakiume kwa vyovyote lazima wawe na tabia kama zako au ziendane angalau kidogo, hawa wakiume watakustir wale nzi watakuwa wanajua ni wapenzi.
2. Uwe msiri, narudia tena uwe msiri kwa vitu vyako vya faida, kama wewe ni bikra katu usimwambie mtu hata kama unamwamini kiasi gani.
3 . Wakati marafiki zako wanapiga story za ngono usiijitenge changia mada kama vile wewe ndo mzoefu kuliko wao.
4. Kama una boom, hakikisha unaweka akiba yakukutosha mpaka boom lijalo, ukiishiwa bahati mbaya tafadhali omba nyumbani au kwa ndugu. Usiombe kwa rafiki yako, awe wa kike au wa kiume.
5.Jiheshimu katika mavazi na Usali sana.
Mtoa post umezinguaa

It means hutaki tuwale mademu kimasihara [emoji23]
 
Hiyo ni uongo bana.. Hakuna binti wa chuo aliyeweza kutunza bikra mpaka kufikia miaka 23.. wakati kile kituo kikuu pale Mwanza kinawasumbua na wako free muda wote chuo.. Achana na ile stendi kuu ya Mwanza ni sheeedaaaa..

Ni ngumu sana binti kusoma chuo na avumilie kuishi na nyegezz miaka yote mitatu ama minne ya chuo. Asiguswe kabisa
Inawezekana mkuu
Mtoa post umezinguaa

It means hutaki tuwale mademu kimasihara [emoji23]
Hapana kwakwel, wakaliwe na wale wanaotoa mahari.
 
Mungu awe wa kwanza hayo mengine yafuate
Chuon kuna peer pressure ya ovyo sana kama una akili za kushikiwa
Wakora lazima wapite na wewe
Wakora wenyewe ndiyo hawa
Mzabzab
Deeppond
Rikboy
National Anthem
Ritz
Usser
johnthebaptist
Gentamycin
Wahuni hawa jamaa
Ewe binti linda bikra yako epuka wahuni
Hizo namba chafu[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mabinti wanatoka advance wakiwa tayari wananjemba na wakati wakumaliza maliza mtihani wa form six wanaambizana kabisa tuchague udsm tuuchochee moto vizuri

Nimesoma chuo fulani mpaka huwa naogopa kuoa msomi wakuu
 
Vile vitoto vya chuo cha IFM na Nyerere kigamboni ni shida tupu wakati naishi kigamboni nilijuta kwanin naishi kamji ka wanafunzi na vijana wenyewe ndoto za kuoa mabinti kutoka chuo kazi mnayo
 
Back
Top Bottom