Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Usingemuacha solemba, ungemfungulia hata genge la kuuza nyanya, labda
Kwani mi baba'ake?
Afanye kazi kama wanavyofanya kazi watu wengine.
Lakini kwa upande mwingine labda hiyo ndo ilikuwa kazi yake, huwezi jua.