Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Usingemuacha solemba, ungemfungulia hata genge la kuuza nyanya, labda
Inabidi uwazoee tu, labda ameshakula vumbi la kutosha mpaka likamfanya awe mwehu God forbidKwani mi baba'ake?
Afanye kazi kama wanavyofanya kazi watu wengine.
Lakini kwa upande mwingine labda hiyo ndo ilikuwa kazi yake, huwezi jua.
Mkuu umenikumbusha mbali sana...kuna waakati niliopoa kadenti baada ya miezi 2 ananiambia eti nimlipie ada ya chuo 370k, kwajinsi nilivyokuwa wakati huo nilimwona Hitler ni inosenti kompeyadi tu ha.Kuna kamoja hako baada ya siku mbili tu kakaniomba eti nikapangishie nyumba ya laki 7 kwa mwezi!
Niliishia kucheka tu kwa kweli.
Because, what else can you do?
Inabidi uwazoee tu, labda ameshakula vumbi la kutosha mpaka likamfanya awe mwehu God forbid
Mkuu umenikumbusha mbali sana...kuna waakati niliopoa kadenti baada ya miezi 2 ananiambia eti nimlipie ada ya chuo 370k, kwajinsi nilivyokuwa wakati huo nilimwona Hitler ni inosenti kompeyadi tu ha.
Sure kabisaaa wanataka kuwa sawa na watoto wa matajir ambao ni rafiki zaoNadhani wengi au baadhi yao wanakuwa wanalazimisha kuishi kiwango fulani cha maisha ili wawarushe roho mashoga zao kwenye mitandao ya kijamii.
I work so hard for what I have to just give it away foolishly like that to someone I barely even know!
It will never happen.
Kuna kamoja hako baada ya siku mbili tu kakaniomba eti nikapangishie nyumba ya laki 7 kwa mwezi!
Niliishia kucheka tu kwa kweli.
Because, what else can you do?
Laki kila mwezi??? lol inaonekana unanyota ya ubaba wa kambo...kwa demu mwenye akili kukwambia hivyo siyo bure.😀😀
Kuna mmoja aliniambia eti niwe nampa hela ya matumizi kwa mwezi kwa sababu ex wake alikuwa akimtunza kwa kumpa laki kadhaa kila mwezi.
Akanionyesha hadi screenshots za mawasiliano yao wakati wakati jamaa kamtumia pesa.
Sasa sijui kama zilikuwa ni screenshots za ukweli au za kutengenezwa.
Lakini kwa muonekano tu huyu mchuchu inaelekea alikuwa ana shida na hela.
Manake hata wigi lake alokuwa anavaa ni la bei rahisi.
Laki kila mwezi??? lol inaonekana unanyota ya ubaba wa kambo...kwa demu mwenye akili kukwambia hivyo siyo bure.
Huwezi kukosea kuwekeza kwa mama au mwanao.Sasaivi nimeanza ku invest kwa mama yangu mzazi yani naona kabosa inalipa nkimpelekea vitu huwa ananipa baraka hapo hapo na ninaona baraka zake zikijibu. Sio hii mijitu unalipa pesa lenyewe lina betua kufuli tu na kukuzidishia liability. Tena skuizi kuna kamchezo kachafu ka birthday skuizi kama keki moja haitoshi wanataka mbili moja yakupakazana na ingine yenye strawbery ndio yakukata stupid[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Asante sana mkuu ningeshauri kwa ambao hawajaanza wafanye hilo inalipa sana wazazi wakifurahia walau kidogo ukipatacho kila mweziHuwezi kukosea kuwekeza kwa mama au mwanao.
Hongera.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Tope Tamukama anatoa tope hana budi kutimiziwa. pesa kwa tope, maana hamna namna tena.
Kweli kabisa mkuu, laiti kama Wanaume wote tungefuata msaimamo kama huo, basi mwaka mmoja tu mtu umeshajengaNadhani wengi au baadhi yao wanakuwa wanalazimisha kuishi kiwango fulani cha maisha ili wawarushe roho mashoga zao kwenye mitandao ya kijamii.
I work so hard for what I have to just give it away foolishly like that to someone I barely even know!
It will never happen.