Hawa ndo Kiboko yao! Hakuna wazo atakalokupa
ambalo ni la kuingiza hela..yeye kila wazo lake ni la
kupulusa kilichopo bila kujali kitarudije na zikiisha
itakuwaje!Wanatumia ile 'Shauri yake Principle'
Baby twende Maisha Club Leo kuna Usiku wa Mabeste anazindua Album jamani,Nampenda kweli Ben Paul
atapafomu....
''Baby uko Mlimani City??please nichukulie 'Tuna' Fish
hapo njaa inauma kweli mpenzi..hata hujui ana hela
au hana,kiruu!
''Baby,nimeona cheni nzuri kweli can i have 60 thou mpenzi wangu,mwaahh...Ulimpa hiyo 60 thou??
Ilikuwa kwenye Plan???Is it necessary ununue
leo????THINK!
''Honey,kuna Samsung Galaxy nzuriiiii nimeona
dukani,kama ile ya BFF wangu Joanita''
''Mpenzi,hivi huwezi hata kuninunulia VITZ,kwakweli nimechoka Daladala''.....Umechoka daladala wakati
mamako bado anapanda,tena za Tandika...acheni
biashara kichaa,hailipi!
Sisemi usiombe hela au vitu lakini hakuna hata
sentensi moja ambayo ni Income Generating inaweza
kutoa kinywani mwako hata mara moja kwa mwaka ili huyu MKAKA akumbuke kwamba She did this last
year????
Hata kusema mpenzi nimeona tangazo kiwanja
kinauzwa can we go see it and buy tujenge when
tukioana?? Au Mpenzi kuna this Business nimeona
rafiki yangu amefanya inamlipa sana,can you think of doing it???
Wewe ni mchunaji Mwanzo Mwisho,hakuna Positive
hata moja???Halafu unataka huyu jamaa A-propose
ndoa???Na unamkomalia kwamba mbona yuko
kimya hasemi kitu mwaka wa 3 huu???Apropose
kuoa DEBIT????Ah nani kasema,utasubiria Treni hapo Ferry,subiri hapohapo hadi usikie honi..Anakutafutia tu
Timing ya kukumwaga,maana ur a Liability to him
japo hakwambii!
kwahisani ya wahaya waishio dar