Kwa mademu wachunaji, mkinichukia poa tu!

Kwa mademu wachunaji, mkinichukia poa tu!

Serikali iweke bei elekezi ya hongo,kwa kuangalia uwezo na kima cha mshahara.Na wafanyr maarifa hongo iwe inakatwa kodi ili kuongeza mapato ya nchi.
 
And I got it so I wasn't trickin'.

But heck, I ain't finna spend that kinda money on you like that.
Laki saba na mwenye nyumba anataka kodi ya niezi 10 so inakuwa 7mil.hyo [emoji74] yake ya dhababu ama?.kwa pesa hyo naweza lima ekari 10 za tikiti maji na chenchi ikabaki ya kununua pikipiki
 
Aisee mi nilikuwa na kidemu flan amazing enzi hizo full mizinga hadi kero...mara dia nimepoteza laki 3 ya mama akijua atanifukuza home nitumie nimrudishie...mara kuna kitchen party sare laki na nusu...

hahahahahahaha hadi sare ya weaving
 
Serikali iweke bei elekezi ya hongo,kwa kuangalia uwezo na kima cha mshahara.Na wafanyr maarifa hongo iwe inakatwa kodi ili kuongeza mapato ya nchi.
Alafu unaakili sana
 
Yaani hii ndo hali halisi ya hawa kinadada.wiki mbili tu zilizopita niliweka uzi hapa wenye kichwa.

Ni kupiga chini tu hakuna namna.

kutokana na kuchunwa kuliko pitiliza niliambiwa ili nipewe nimpangie nikasema sawa yalifuata sasa balaa na mbaya zaidi hela ya matumizi kila siku kama nimeoa vile yaani nusu ya mshahara anatumia yeye na bado halidhiki.demu mwenyewe katumika hadi basi na baadae kuishia kuzalishwa halafu zigo nije kubebeshwa mie kinda below 30yrs.nikaamua kupiga chini haraka sana maana niliona natumika tu.
 
mademu wa aina hiyo bora niishie kuwaona tu mm nipo na mwajuma wangu uwa ananipa vizuri na nikitoboka sana ni dala
 
Mademu Wa kibongo a.k.a DECI ukipenda Waite saccos ndogo...
 
Hawa ndo Kiboko yao! Hakuna wazo atakalokupa
ambalo ni la kuingiza hela..yeye kila wazo lake ni la
kupulusa kilichopo bila kujali kitarudije na zikiisha
itakuwaje!Wanatumia ile 'Shauri yake Principle'
Baby twende Maisha Club Leo kuna Usiku wa Mabeste anazindua Album jamani,Nampenda kweli Ben Paul
atapafomu....
''Baby uko Mlimani City??please nichukulie 'Tuna' Fish
hapo njaa inauma kweli mpenzi..hata hujui ana hela
au hana,kiruu!
''Baby,nimeona cheni nzuri kweli can i have 60 thou mpenzi wangu,mwaahh...Ulimpa hiyo 60 thou??
Ilikuwa kwenye Plan???Is it necessary ununue
leo????THINK!
''Honey,kuna Samsung Galaxy nzuriiiii nimeona
dukani,kama ile ya BFF wangu Joanita''
''Mpenzi,hivi huwezi hata kuninunulia VITZ,kwakweli nimechoka Daladala''.....Umechoka daladala wakati
mamako bado anapanda,tena za Tandika...acheni
biashara kichaa,hailipi!
Sisemi usiombe hela au vitu lakini hakuna hata
sentensi moja ambayo ni Income Generating inaweza
kutoa kinywani mwako hata mara moja kwa mwaka ili huyu MKAKA akumbuke kwamba She did this last
year????
Hata kusema mpenzi nimeona tangazo kiwanja
kinauzwa can we go see it and buy tujenge when
tukioana?? Au Mpenzi kuna this Business nimeona
rafiki yangu amefanya inamlipa sana,can you think of doing it???
Wewe ni mchunaji Mwanzo Mwisho,hakuna Positive
hata moja???Halafu unataka huyu jamaa A-propose
ndoa???Na unamkomalia kwamba mbona yuko
kimya hasemi kitu mwaka wa 3 huu???Apropose
kuoa DEBIT????Ah nani kasema,utasubiria Treni hapo Ferry,subiri hapohapo hadi usikie honi..Anakutafutia tu
Timing ya kukumwaga,maana ur a Liability to him
japo hakwambii!
kwahisani ya wahaya waishio dar
Message delivered...!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani hii ndo hali halisi ya hawa kinadada.wiki mbili tu zilizopita niliweka uzi hapa wenye kichwa.

Ni kupiga chini tu hakuna namna.

kutokana na kuchunwa kuliko pitiliza niliambiwa ili nipewe nimpangie nikasema sawa yalifuata sasa balaa na mbaya zaidi hela ya matumizi kila siku kama nimeoa vile yaani nusu ya mshahara anatumia yeye na bado halidhiki.demu mwenyewe katumika hadi basi na baadae kuishia kuzalishwa halafu zigo nije kubebeshwa mie kinda below 30yrs.nikaamua kupiga chini haraka sana maana niliona natumika tu.
Duuuh, pole sana asee,
na angekufilisi kama usingemshtukia mapema
 
Back
Top Bottom