lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Kuna dereva wa malori makubwa wale masafa aliwahi nihadithia sijui kama Chai au laa eti kwao ni vitu vya kawaida sana akanambia wana namna zao wakikutana na ishu kama hii,ila wao sio kama maimatha anaowazungumzia wa huyo jamaa wangu ni original wa ulozi ulozi..