Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,595
- 3,670
hahahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mi nliamua kupita kimya kimya naona ww umeshndwa kuvumiliaNikisema sijawahi panda basi ntakuwa muongo na mpuuzi kama wengine. Nmetumia kila usafiri uliopo tanzania.but tu sipend sifa za kijinga na kitoto.uongo usio na maana.unaona movie unakuja kusimulia humu ukidhan wote ni watoto kama wewe. Muwe mnatuheshimu hata kusema uongo kunataka uwe na akili ikiwa unatka kudanganya wenye akili.
Ulichoongea ni uongo wa wazi kabisa yaan kuna hoja zako hazijakaa sawa na nmeziweka wazi hapo. Mimi nmekwambia sababu nafaham kwenye speed kubwa barabaran tena usiku huwez pata muda wa kufanya iliyoyasema ni uongo.na pia huwez jua kwenye gari jiran wapo wangap ni uongo, huwezi wasikia watu wakiongea sababu ya upepo mkali ni uongo.
Kabla hujasema uongo tumia akili hata kidogo
Jamaa anakwambia akachomoa pisto akawaonesha majambaz[emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app