GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Kwa hii post nakwambia kuna watu watakwambia imeshawahi kuwatokea wanataka kutekwa na majambazi wakatoa Kifalu au Manowali kabisa...
Anyway i just tried to show yu that ktk threads hii kuna watu mpaka wanaongea uongo. Kuielewa post yangu ilibidi uwe umetulia kidogo its ironicaly
Anyway i just tried to show yu that ktk threads hii kuna watu mpaka wanaongea uongo. Kuielewa post yangu ilibidi uwe umetulia kidogo its ironicaly
Mkuu Sub Machine Gun (SMG) ni silaha ya kivita, kumiliki kwa matumizi ya kawaida sio rahisi.