Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Kwa hii post nakwambia kuna watu watakwambia imeshawahi kuwatokea wanataka kutekwa na majambazi wakatoa Kifalu au Manowali kabisa...


Anyway i just tried to show yu that ktk threads hii kuna watu mpaka wanaongea uongo. Kuielewa post yangu ilibidi uwe umetulia kidogo its ironicaly

Mkuu Sub Machine Gun (SMG) ni silaha ya kivita, kumiliki kwa matumizi ya kawaida sio rahisi.
 
Kuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahah chai hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah jaman hizi story nyengine Nina was was Nazo maana mnanieka kwenye dilema, cjui niamini au laaa

Ile safari ningekuwa nipo peke yangu ningehisi labda nilikuwa nimesinzia nikawa ninaota ila nilikuwa na familia yangu akiwepo na shangazi yangu ambaye alipiga kelele hizo si za nchi hii.

Mpaka leo huwa tunamtania shangazi badala ya kutoa shahada wewe unalalamika mimi nakuua kwani mimi ndio mtoa roho ,.

Amini mkuu hizi habari zipo na uzuir akusimulie muhusika siyo yule aliyesimuliwa tu kisha na yeye akaenda kusimulia kama alikuwepo eneo la tukio.
 
Ni safari moja tu ndio nimewah kufika home late saa saba halaf home sikusema kama nakuja na niko hivo hua wananishtukia tu nipo, lakini sijawah kukumbwa na hiyo kadhia tena napenda sana kufika home usiku sema sio wa manane

Kuna siku pia tulienda shamba la moja la mkonge liko mnazi, ni mbali tulikua kama watu wanne nikiwa mwanamke alone kwenye ule msafara, wakat tunarud dereva akasema tuchanje mbuga kwa mbuga tusipite ya lami tutazunguka sana tulipokua mbugan gari sjui ilikanyaga nn ikaserereka karib iingie kwenye kidaraja tukashuka hatukuona chochote tukaendelea kuja tokea sehem kunaitwa maramba tayar usiku saa mbili hivi, tukatembea hapo hakuna alieku na waswas kuhusu nn tulikanyaga kufika eneo linaitwa gombero alitoka nyoka upande wa dereva anavuka dereva akamkanyaga tena nikapiga kelele nyoka ikabidi tuangalie hatukuona kama amekanyagwa sikua na waswas kabisa leo ninesoma hapa nimerecall hayo matukio maybe yawezekana n hayo mauza uza au ilikua kweli
Dah kuna maeneo umeyataja humo yananikumbusha mbali sana... Tanga wilaya ya Mkinga....

Sent from my VKY-L29 using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nikiwa darasa la Sita Mwadui SAA Sita mchana nikitoka shule nikawa napishana na MTU nikajikuta nimesogezwa pembeni kama mita 2 hivi nisimkaribie mtu huyo niliekuwa napishana nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom