Kaduguda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2008
- 724
- 641
- Thread starter
- #21
Gari A litakuwa la kwanza kupita kwakuwa lipo
upande wake sahihi.
Gari B litatoa kipaombele kwa gari B hlf nalo
litafuata kupita. Toa kipaombele kwa walioko kulia kwako.
Gari C litakuwa la mwisho kupita kwakuwa
atatoa kipaombele kwa walioko barabara kubwa
kwanza wapite.
Tafadhali nyoosha maelezo kwenye paragraph ya pili ni kama unajichanganya!