Gari A litakuwa la kwanza kupita kwakuwa lipo
upande wake sahihi.
Gari B litatoa kipaombele kwa gari B hlf nalo
litafuata kupita. Toa kipaombele kwa walioko kulia kwako.
Gari C litakuwa la mwisho kupita kwakuwa
atatoa kipaombele kwa walioko barabara kubwa
kwanza wapite.
Gari ya kwanza kupita ni C ikifuatiwa na B kisha A atakua wamwisho kupita
Hii kitu siyo madereva tu hata kwa aliyesoma civil engineering atakubaliana na maelezo nitakayotiririka hapa.
Kwanza itategemea na classification za hizo barabara.
kama kwenye barabara iliyoko gari c ni minor road(low volume of vehicles road) na barabara kwenye gari A ni major road(large volume of vehicles road) gari A litakuwa la kwanza kuondoka kwa sababu liko major road (first priority to vehicle C) halafu ni straight moving vehicle (first priority to vehicle B).
Gari A likiisha ondoka gari B na gari C yanaweza kuondoka kwa wakati mmoja kwa sababu they do not conflict.
yaani there is no any point of collision for vehicle C and vehicle B.