Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A sababu yuko high way B na C ni lazima wasubiri taa ya kijani au waruhusiwe kupita
Dreva wa veta kaja.....
Itaanza A coz yupo highway
Itafata C coz kulia kwake hakuna gar na mwisho n B coz alikuwa anasubir uhakika toka kulia kwake kama hakuna gar ndo achepuke
Kwa wanaohitaji kufundishwa drvn wanPm
Haya kwa wale tu walioenda shule za udereva wa ukweli sio unafundishwa asbh huku tayari leseni ushaletewa nyumbani. Kwa picha ya hapo chini ni Gari lipi litakuwa la mwisho kupita A, B au C? Toa sababu zenye ushawishi wa kiufundi!
View attachment 128429