Kwa maelezo haya ya Wenje, ni wazi kuwa hata wabunge Covid 19 wana baraka za viongozi wa juu

Kwa maelezo haya ya Wenje, ni wazi kuwa hata wabunge Covid 19 wana baraka za viongozi wa juu

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
494
Reaction score
1,656
Ni kiri wazi kuwa kwa maelezo haya ya wenje baada ya kumsikiliza kwa makini! Kuna maswali mengi yanakosa majibu kutoka kwa wenje! Ni upumbavu wa hali juu kuwa haki yako iliyo kisheria mtoto wa rahisi ndio akufanyie mpango ulipwe as if hayo madai anayedaiwa ni mama yake!

Swali langu kwa wenje kwahiyo watu wote tunaoidai serikali malimbikizi ya pesa, wastaafu nk tupitie kwa abdul ndo tupate pesa hizo? Kwa hili tu wenje amethibitisha kuwa ni mtu wa kuongeka kirahisi, ni mtu asiye na msimamo, mla rushwa, na kama kweli ametanganza nia ya kugombea makamu mwenyekiti maanake ana baraka za mbowe hii ni kumaanisha tundu lissu amekuwa mwiba kwenye ile top system wanataka wamuondoe ili waweze kula vizuri, hata wabunge covid 19 ni mchongo wa mbowe na machawa wake! Hili halina ubishi!

Huwezi kushindana na haki, tundu lissu angekuwa ni muongo na mtu asiyetetea haki Mungu asingemuokoa na zile risasi 16, na kusudi la Mungu litasimama hata leo! Anayeshindana na lissu ajue anashindana na mwenye kusudi na lissu ambaye ni Mungu! Ukiishi kwenye haki utakuwa jasiri na hamna wa kukutisha maana wewe unalindwa na Mungu!

Wenje peleka porojo zako kwa wala rushwa wenzako! Watanzania wa leo sio wale wa zungusha mikono tena wana utashi wa kungamua uongo na ukweli! Usijitetee!
 
Ni kiri wazi kuwa kwa maelezo haya ya wenje baada ya kumsikiliza kwa makini! Kuna maswali mengi yanakosa majibu kutoka kwa wenje! Ni upumbavu wa hali juu kuwa haki yako iliyo kisheria mtoto wa rahisi ndio akufanyie mpango ulipwe as if hayo madai anayedaiwa ni mama yake! Swali langu kwa wenje kwahiyo watu wote tunaoidai serikali malimbikizi ya pesa, wastaafu nk tupitie kwa abdul ndo tupate pesa hizo???? Kwa hili tu wenje amethibitisha kuwa ni mtu wa kuongeka kirahisi, ni mtu asiye na msimamo, mla rushwa, na kama kweli ametanganza nia ya kugombea makamu mwenyekiti maanake ana baraka za mbowe hii ni kumaanisha tundu lissu amekuwa mwiba kwenye ile top system wanataka wamuondoe ili waweze kula vizuri, hata wabunge covid 19 ni mchongo wa mbowe na machawa wake! Hili halina ubishi!

Huwezi kushindana na haki, tundu lissu angekuwa ni muongo na mtu asiyetetea haki Mungu asingemuokoa na zile risasi 16, na kusudi la Mungu litasimama hata leo! Anayeshindana na lissu ajue anashindana na mwenye kusudi na lissu ambaye ni Mungu! Ukiishi kwenye haki utakuwa jasiri na hamna wa kukutisha maana wewe unalindwa na Mungu!

Wenje peleka porojo zako kwa wala rushwa wenzako! Watanzania wa leo sio wale wa zungusha mikono tena wana utashi wa kungamua uongo na ukweli! Usijitetee!
Tatizo kubwa ni kuwa tunajadili vilivyo juu ya uwezo wetu. Unauliza mtoto wa Rais ni nani hapa Afrika? Unadhani hata Makamu wa Rais anamfikia katika kumuinfluence mama yake? Acheni utani! Unajua ADC ni mtu wa muhimu katika kuinfluence Rais!
 
Ni kiri wazi kuwa kwa maelezo haya ya wenje baada ya kumsikiliza kwa makini! Kuna maswali mengi yanakosa majibu kutoka kwa wenje! Ni upumbavu wa hali juu kuwa haki yako iliyo kisheria mtoto wa rahisi ndio akufanyie mpango ulipwe as if hayo madai anayedaiwa ni mama yake!

Swali langu kwa wenje kwahiyo watu wote tunaoidai serikali malimbikizi ya pesa, wastaafu nk tupitie kwa abdul ndo tupate pesa hizo? Kwa hili tu wenje amethibitisha kuwa ni mtu wa kuongeka kirahisi, ni mtu asiye na msimamo, mla rushwa, na kama kweli ametanganza nia ya kugombea makamu mwenyekiti maanake ana baraka za mbowe hii ni kumaanisha tundu lissu amekuwa mwiba kwenye ile top system wanataka wamuondoe ili waweze kula vizuri, hata wabunge covid 19 ni mchongo wa mbowe na machawa wake! Hili halina ubishi!

Huwezi kushindana na haki, tundu lissu angekuwa ni muongo na mtu asiyetetea haki Mungu asingemuokoa na zile risasi 16, na kusudi la Mungu litasimama hata leo! Anayeshindana na lissu ajue anashindana na mwenye kusudi na lissu ambaye ni Mungu! Ukiishi kwenye haki utakuwa jasiri na hamna wa kukutisha maana wewe unalindwa na Mungu!

Wenje peleka porojo zako kwa wala rushwa wenzako! Watanzania wa leo sio wale wa zungusha mikono tena wana utashi wa kungamua uongo na ukweli! Usijitetee!
Yaani maswali ni mengi kuliko majibu, waandishi walimuhurumia tu, mbaya zaidi ana muamini Abdul 100%, anajua moyo wa Abdul? Kama Abdul aliwahi kwenda Uganda kwa mambo yasiyomuhusu, atashindwaje kwenda kumpunguza nguvu lissu? Je wenje atapingaje lissu hakutaka kuhongwa ilhali alitumika kumuunganisha na Abdul na lissu? Hivi aliona fahari kubadilishana contact na mtoto wa rais kwa lengo lipi? Wapinzani wawe makini Sana, waache kujipendekeza
 
Tatizo kubwa ni kuwa tunajadili vilivyo juu ya uwezo wetu. Unauliza mtoto wa Rais ni nani hapa Afrika? Unadhani hata Makamu wa Rais anamfikia katika kumuinfluence mama yake? Acheni utani! Unajua ADC ni mtu wa muhimu katika kuinfluence Rais!
Malipo ya tundu lissu hayahitaji influence ya Rais! Wote tunaoidai serikali lazima tupate influence kwa Rais ndo tulipwe! Malipo ya Tundu lissu yapo kisheria na atalipwa kwa mjibu wa sheria!
 
Tatizo kubwa ni kuwa tunajadili vilivyo juu ya uwezo wetu. Unauliza mtoto wa Rais ni nani hapa Afrika? Unadhani hata Makamu wa Rais anamfikia katika kumuinfluence mama yake? Acheni utani! Unajua ADC ni mtu wa muhimu katika kuinfluence Rais!
Kwa hiyo wenje anataka kuendelea mfumo huo? Wenje alibadilishana contact kwa maslahi binafsi na tamaa ya fedha kama alivyosema, huku kujipendekeza ndo kunakopelekea viongozi wa upinzani kununuliwa
 
Wale wabunge Kuna siku itafahamika, Kuna baadhi ya viongozi wa chadema wanaamini katika usiri Sana ndo maana wanaropoka ooh mambo ya chumbani yasiwekwe hadharani, ukweli unapigwa spana Sana kwenye vyama vyetu
 
Malipo ya tundu lissu hayahitaji influence ya Rais! Wote tunaoidai serikali lazima tupate influence kwa Rais ndo tulipwe! Malipo ya Tundu lissu yapo kisheria na atalipwa kwa mjibu wa sheria!
Kama yapo kisheria si aende mahakamani?
 
Kwa hiyo wenje anataka kuendelea mfumo huo? Wenje alibadilishana contact kwa maslahi binafsi na tamaa ya fedha kama alivyosema, huku kujipendekeza ndo kunakopelekea viongozi wa upinzani kununuliwa
Hapo sina jibu ila napingana na wanaosema mtoto au mke wa Rais ni nani! Hawajui mamlaka ya Rais katika nchi yetu
 
Ni kiri wazi kuwa kwa maelezo haya ya wenje baada ya kumsikiliza kwa makini! Kuna maswali mengi yanakosa majibu kutoka kwa wenje! Ni upumbavu wa hali juu kuwa haki yako iliyo kisheria mtoto wa rahisi ndio akufanyie mpango ulipwe as if hayo madai anayedaiwa ni mama yake!

Swali langu kwa wenje kwahiyo watu wote tunaoidai serikali malimbikizi ya pesa, wastaafu nk tupitie kwa abdul ndo tupate pesa hizo? Kwa hili tu wenje amethibitisha kuwa ni mtu wa kuongeka kirahisi, ni mtu asiye na msimamo, mla rushwa, na kama kweli ametanganza nia ya kugombea makamu mwenyekiti maanake ana baraka za mbowe hii ni kumaanisha tundu lissu amekuwa mwiba kwenye ile top system wanataka wamuondoe ili waweze kula vizuri, hata wabunge covid 19 ni mchongo wa mbowe na machawa wake! Hili halina ubishi!

Huwezi kushindana na haki, tundu lissu angekuwa ni muongo na mtu asiyetetea haki Mungu asingemuokoa na zile risasi 16, na kusudi la Mungu litasimama hata leo! Anayeshindana na lissu ajue anashindana na mwenye kusudi na lissu ambaye ni Mungu! Ukiishi kwenye haki utakuwa jasiri na hamna wa kukutisha maana wewe unalindwa na Mungu!

Wenje peleka porojo zako kwa wala rushwa wenzako! Watanzania wa leo sio wale wa zungusha mikono tena wana utashi wa kungamua uongo na ukweli! Usijitetee!
wenje sio mtu wa kuaminika hata kidogo huku mwanza tunamjua kila kitu,lakini kuna kitu kinaitwa staha,hatuwezi kumuumbua hadharani kwani binadamu kama sisi
 
Wale wabunge Kuna siku itafahamika, Kuna baadhi ya viongozi wa chadema wanaamini katika usiri Sana ndo maana wanaropoka ooh mambo ya chumbani yasiwekwe hadharani, ukweli unapigwa spana Sana kwenye vyama vyetu
Harafu wengi ni Wake za viongozi chadema
 
Ni upumbavu wa hali juu kuwa haki yako iliyo kisheria mtoto wa rahisi ndio akufanyie mpango ulipwe as if hayo madai anayedaiwa ni mama yake!
NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU KUWA MTOTO WA RAIS HAWWEZI KUTUMIA INFLUENCE YAKE KUMSHAWISHI MAMA YAKE WAKIWA NYUMBANI KUMLIPA MTU. TUNAPATA FAVOUR KWA KUWATUMIA WATU WALIO KARIBU NA WENYE MADARAKA. NDIVYO ILIVYO DUNIANI KOTE.

UKITAKA KUTOA RUSHWA KWA JAJI /HAKIMU HUENDI WEWE KICHWA KICHWA, UNAMTUMIA MTU ALIYEKARIBU NA JAJI/HAKIMU ETC ETC
 
Ni kiri wazi kuwa kwa maelezo haya ya wenje baada ya kumsikiliza kwa makini! Kuna maswali mengi yanakosa majibu kutoka kwa wenje! Ni upumbavu wa hali juu kuwa haki yako iliyo kisheria mtoto wa rahisi ndio akufanyie mpango ulipwe as if hayo madai anayedaiwa ni mama yake!

Swali langu kwa wenje kwahiyo watu wote tunaoidai serikali malimbikizi ya pesa, wastaafu nk tupitie kwa abdul ndo tupate pesa hizo? Kwa hili tu wenje amethibitisha kuwa ni mtu wa kuongeka kirahisi, ni mtu asiye na msimamo, mla rushwa, na kama kweli ametanganza nia ya kugombea makamu mwenyekiti maanake ana baraka za mbowe hii ni kumaanisha tundu lissu amekuwa mwiba kwenye ile top system wanataka wamuondoe ili waweze kula vizuri, hata wabunge covid 19 ni mchongo wa mbowe na machawa wake! Hili halina ubishi!

Huwezi kushindana na haki, tundu lissu angekuwa ni muongo na mtu asiyetetea haki Mungu asingemuokoa na zile risasi 16, na kusudi la Mungu litasimama hata leo! Anayeshindana na lissu ajue anashindana na mwenye kusudi na lissu ambaye ni Mungu! Ukiishi kwenye haki utakuwa jasiri na hamna wa kukutisha maana wewe unalindwa na Mungu!

Wenje peleka porojo zako kwa wala rushwa wenzako! Watanzania wa leo sio wale wa zungusha mikono tena wana utashi wa kungamua uongo na ukweli! Usijitetee!
Mi nadhani mjadala ungekuwa ni kwa Nini TAKUKURU hawajaanzisha UCHUNGUZI na kumkamata abdul
 
Tatizo kubwa ni kuwa tunajadili vilivyo juu ya uwezo wetu. Unauliza mtoto wa Rais ni nani hapa Afrika? Unadhani hata Makamu wa Rais anamfikia katika kumuinfluence mama yake? Acheni utani! Unajua ADC ni mtu wa muhimu katika kuinfluence Rais!
Mbona hii haikuwepo kwa Mwalimu Nyerere na watoto wake? Kwa nini sasa watoto wa viongozi ndio wawa influence mama au na baba zao? Kuna tatizo hapa na miongozo ya kazi zao. Kama ni kweli mtoto anamu-influence mama yake, ni kwamba huyo mama si mama tena maana amepwaya kwenye majukumu yake. Muongozo anao , anauweka kando na kupata influence ya mwanawe. Taabu tupu. labda aje akane sio kweli.
 
Tatizo kubwa ni kuwa tunajadili vilivyo juu ya uwezo wetu. Unauliza mtoto wa Rais ni nani hapa Afrika? Unadhani hata Makamu wa Rais anamfikia katika kumuinfluence mama yake? Acheni utani! Unajua ADC ni mtu wa muhimu katika kuinfluence Rais!
Huna akili
 
NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU KUWA MTOTO WA RAIS HAWWEZI KUTUMIA INFLUENCE YAKE KUMSHAWISHI MAMA YAKE WAKIWA NYUMBANI KUMLIPA MTU. TUNAPATA FAVOUR KWA KUWATUMIA WATU WALIO KARIBU NA WENYE MADARAKA. NDIVYO ILIVYO DUNIANI KOTE.

UKITAKA KUTOA RUSHWA KWA JAJI /HAKIMU HUENDI WEWE KICHWA KICHWA, UNAMTUMIA MTU ALIYEKARIBU NA JAJI/HAKIMU ETC ETC
Nauliza pia Abdul mpaka kumfuata lissu nyumbani, yeye alikua ananufaika na nini?.
 
Ni kiri wazi kuwa kwa maelezo haya ya wenje baada ya kumsikiliza kwa makini! Kuna maswali mengi yanakosa majibu kutoka kwa wenje! Ni upumbavu wa hali juu kuwa haki yako iliyo kisheria mtoto wa rahisi ndio akufanyie mpango ulipwe as if hayo madai anayedaiwa ni mama yake!

Swali langu kwa wenje kwahiyo watu wote tunaoidai serikali malimbikizi ya pesa, wastaafu nk tupitie kwa abdul ndo tupate pesa hizo? Kwa hili tu wenje amethibitisha kuwa ni mtu wa kuongeka kirahisi, ni mtu asiye na msimamo, mla rushwa, na kama kweli ametanganza nia ya kugombea makamu mwenyekiti maanake ana baraka za mbowe hii ni kumaanisha tundu lissu amekuwa mwiba kwenye ile top system wanataka wamuondoe ili waweze kula vizuri, hata wabunge covid 19 ni mchongo wa mbowe na machawa wake! Hili halina ubishi!

Huwezi kushindana na haki, tundu lissu angekuwa ni muongo na mtu asiyetetea haki Mungu asingemuokoa na zile risasi 16, na kusudi la Mungu litasimama hata leo! Anayeshindana na lissu ajue anashindana na mwenye kusudi na lissu ambaye ni Mungu! Ukiishi kwenye haki utakuwa jasiri na hamna wa kukutisha maana wewe unalindwa na Mungu!

Wenje peleka porojo zako kwa wala rushwa wenzako! Watanzania wa leo sio wale wa zungusha mikono tena wana utashi wa kungamua uongo na ukweli! Usijitetee!
Nchi ya kipuuzi hii

kwamaelezo haya Abdul na wenje wangekuwa korokoroni wanahojiwa na TAKUKURU kabla ya kupelekwa mahakani
 
Mbona hii haikuwepo kwa Mwalimu Nyerere na watoto wake? Kwa nini sasa watoto wa viongozi ndio wawa influence mama au na baba zao? Kuna tatizo hapa na miongozo ya kazi zao. Kama ni kweli mtoto anamu-influence mama yake, ni kwamba huyo mama si mama tena maana amepwaya kwenye majukumu yake. Muongozo anao , anauweka kando na kupata influence ya mwanawe. Taabu tupu. labda aje akane sio kweli.
Hayo ndio maisha ya Uongozi wa kiafrika. umeahau mzee ruksa na mkewe??? Umesahau mkwere na nwanae ,,umesahau Jiwe na kondakta. ofcoz unachoongelea kwenye miiko ya kazi sio sawa na ndio maana najua Abdul atakuja kumruka maana hapo bi mkubwa ashachafuka.....ila ndo africa hii miiko ya kazi imebaki kwenye kazi za kutambika tu
 
Back
Top Bottom