Mwaka huu hawatoboi hawa wanadhani kuchukua dola ni easy kiasi hicho kwa sera nyepesi kama hizo wanazotoa wagombea wao
Wewe wasemaHahaha Magufuli anajaziwa watoto wa shule za msingi za mkoa mzima anafurahia sana sijui kama watakuwepo kwenye kupiga kura pia.
Anatakiwa azungumze sera ili wananchi wajue atafanya nini kama atashinda uchaguzi.Kuna mgombea moja, jana alipita shinyanga sokoni na stend ili apate kura za kumtumia robertison wa Amsterdam
Alikuwa na shida huyu, uchaguzi hauna huruma.Kuna mgombea moja, jana alipita shinyanga sokoni na stend ili apate kura za kumtumia robertison wa Amsterdam
Acha kupotosha umma, ni mkoa gani na shule gani ambazo wanafunzi wake wamepelekwa kwenye kampeni?. Wape salamu mwaka huu mtashindwa vibaya.Hahaha Magufuli anajaziwa watoto wa shule za msingi za mkoa mzima anafurahia sana sijui kama watakuwepo kwenye kupiga kura pia.
Nilikuwepo pale Shinyanga, CCM inakubalika sana pale Shinyanga.Mnajifariji asaiv Shinyanga ni ngome ya upinzani jana wethibitisha
Mgombea huyu bado anafikiri uchaguzi ni chai ya asubuhi.Kuna mgombea moja, jana alipita shinyanga sokoni na stend ili apate kura za kumtumia robertison wa Amsterdam
Umemjibu vyema, wanapenda kusambaza taarifa ambazo sio za kweli.Hahah hao watoto wachache uliowaona hawakuwa pekeyao, waliongozana na wazazi wao
Kabisa, wananchi tunataka kusikia sera. Watafanya nini, watafanikishi vipi? tutaelekea wapi kwa miaka mitano ijayo.Anatakiwa azungumze sera ili wananchi wajue atafanya nini kama atashinda uchaguzi.
Kabisa, atamsimulia hali inayoendelea huku. Mambo ndio kwanza yameanza hata siku wiki mbili bado hazijafika. Atalalamika sana.Anafikiri kuongoza Nchi ni km kunywa chai na robertison wa Amsterdam
Ni aibu sana kwa mgombea kukosa sera, tunahitaji kiongozi anayeumia kuona rasilimali za nchi yetu hazitunufaishi na vinatumika vibaya.Lissu yeye anatuambia maendeleo ni kujua kuongea kingereza na kuwaabudu Mabeberu
Kabisa. Watatumia fedha nyingi ila CCM ni imara zaidi leo kuliko jana. Nchi hii CCM ina mizizi mikubwa.Analipwa na Mabeberu Mkuu
Kama kweli mna sera nzuri mbona zanzibar hali ngumu hadi jecha afanye yakeMwaka huu hawatoboi hawa wanadhani kuchukua dola ni easy kiasi hicho kwa sera nyepesi kama hizo wanazotoa wagombea wao
Yap, hili ni jambo la msingi.Kabisa, wananchi tunataka kusikia sera. Watafanya nini, watafanikishi vipi? tutaelekea wapi kwa miaka mitano ijayo.
jecha kafanyake yake yapi?Kama kweli mna sera nzuri mbona zanzibar hali ngumu hadi jecha afanye yake
Ona aibu wewe, hivi mna hofu ya Mungu kweli kwenye nafsi zenu?jecha kafanyake yake yapi?
Alifanya maamuzi kuzingatia sheria
Tunayo saana tu,Labda ww ndo ujitafakari mara mbiliOna aibu wewe, hivi mna hofu ya Mungu kweli kwenye nafsi zenu?
Hatuna hali ngumu, pale tunashinda na kumstaafisha Mzee Seif.Kama kweli mna sera nzuri mbona zanzibar hali ngumu hadi jecha afanye yake
Kwa mbinu za kina jecha kufuta uchaguzi! Hizo mtashinda sana tuHatuna hali ngumu, pale tunashinda na kumstaafisha Mzee Seif.