Kwa mafanikio inayopata Simba Mangungu anafaa sana Simba, asibughuziwe. Tujihepushe na maadui wa Simba.

Kwa mafanikio inayopata Simba Mangungu anafaa sana Simba, asibughuziwe. Tujihepushe na maadui wa Simba.

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Simba ndio timu pekee Tanzania mpaka sasa yenye mafanikio na vikombe kabatini.

Sasa kelele za Mangungu na Try again zinatoka wapi?

Ukisikia hatumtaki Mangungu na Try again basi ujuwe hao ni Yanga.

Wana Simba tushikamane na viongozi wetu hawa ni lulu, jana Saido Mchezaji bora, Lakredi kipa bora mnataka nini tena?

Mangungu mitano tena.
 
🤣🤣🤣🤣🤣! Wewe ndo Yanga Mwenyewe Sasa, anyway, Benchinka out... Ngungus na Jaribu tena MITANO tena.
 
Viva Mangungu
Viva trai agein
Viva bocco, saido & Lakred
Viva mwamedi Dewji
 
Simba ndio timu pekee Tanzania mpaka sasa yenye mafanikio na vikombe kabatini.

Sasa kelele za Mangungu na Try again zinatoka wapi?

Ukisikia hatumtaki Mangungu na Try again basi ujuwe hao ni Yanga.

Wana Simba tushikamane na viongozi wetu hawa ni lulu, jana Saido Mchezaji bora, Lakredi kipa bora mnataka nini tena?

Mangungu mitano tena.
Tujihepushe❌
Tujiepushe✅
 
Simba ndio timu pekee Tanzania mpaka sasa yenye mafanikio na vikombe kabatini.

Sasa kelele za Mangungu na Try again zinatoka wapi?

Ukisikia hatumtaki Mangungu na Try again basi ujuwe hao ni Yanga.

Wana Simba tushikamane na viongozi wetu hawa ni lulu, jana Saido Mchezaji bora, Lakredi kipa bora mnataka nini tena?

Mangungu mitano tena.
Bughuziwa [emoji777]

Bughudhiwa [emoji736]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Mpk sasa Club ya Simba ndio klabu pekee Tanzania ina vikombe viwili mezani
1. NGAO YA JAMII
2. KOMBE LA MUUNGANO
Na pia mwaka huu imefika ROBO FAINALI
UBINGWA NBCPL uko njiani
 
Back
Top Bottom