Kwa mafanikio, oeni pisi za kawaida

Kwa mafanikio, oeni pisi za kawaida

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wanaume wengi tunayumbishwa na pisi kali tunazozimiliki, wengi tumejikuta tumeshindwa ata kumiliki mashine ya kupukuchua mahindi kwa sababu ya kuhudumia pisi kali.

Migogoro imekuwa ni mingi ndani ya familia/ mahusiano, kutokana na pisi kali kujiona ni mzuri na kumfanya mwanaume kuwa mtumwa katika mahusiano.

Kuchapiwa imekuwa ni kitu cha kawaida,kwa sababu kila wapitapo upigiwa miluzi na mabaharia.

Kwa ushauri tu,oeni pisi za kawaida ili kuepukana na magonjwa ya akili ya kujitakia, pamoja na kuboresha mafanikio.

Unakumbuka wimbo gani kutoka kwa huyu mkali?
pis.jpg
 
Huo ufala sifanyi mie....nitaoana pisi kali kam kumtomber mtombeni tuu muhimu na mie napewa asali.

Unaweka ngongozo ndani ya nyumba na shamba boya anapita naye.

Kipe kitu roho inapenda.

Tusake hela wanaume tuoe pisi kali.

Hao sura za baba wacha waolewe na baba zao 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanaume wengi tunayumbishwa na pisi kali tunazozimiliki, wengi tumejikuta tumeshindwa ata kumiliki mashine ya kupukuchua mahindi kwa sababu ya kuhudumia pisi kali.

Migogoro imekuwa ni mingi ndani ya familia/mahusiano, kutokana na pisi kali kujiona ni mzuri na kumfanya mwanaume kuwa mtumwa katika mahusiano.

Kuchapiwa imekuwa ni kitu cha kawaida,kwa sababu kila wapitapo upigiwa miluzi na mabaharia.

Kwa ushauri tu,oeni pisi za kawaida ili kuepukana na magonjwa ya akili ya kujitakia, pamoja na kuboresha mafanikio.

Unakumbuka wimbo gani kutoka kwa huyu mkali?
View attachment 3021712
images.jpeg

Kilikuwa chuma 🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom