Kwa mafanikio, oeni pisi za kawaida

Kwa mafanikio, oeni pisi za kawaida

Nikiangalia na hiyo avatar.....
🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🙌

Cc Smart911
 
Nimekutana na hii Mahali mke wa mchungaji shusho anataka kupindisha sheria ya mtu mzima isiwe kwanzia miaka 18...adai aliolewa akiwa mtoto na mume Hana mchango kwenye mafanikio yake
Jamani na kama maamuzi kwanini asiyafanye wkt ule Yuko Binti maana Kwa sasa sij
 
Wanaume wengi tunayumbishwa na pisi kali tunazozimiliki, wengi tumejikuta tumeshindwa ata kumiliki mashine ya kupukuchua mahindi kwa sababu ya kuhudumia pisi kali.

Migogoro imekuwa ni mingi ndani ya familia/ mahusiano, kutokana na pisi kali kujiona ni mzuri na kumfanya mwanaume kuwa mtumwa katika mahusiano.

Kuchapiwa imekuwa ni kitu cha kawaida,kwa sababu kila wapitapo upigiwa miluzi na mabaharia.

Kwa ushauri tu,oeni pisi za kawaida ili kuepukana na magonjwa ya akili ya kujitakia, pamoja na kuboresha mafanikio.

Unakumbuka wimbo gani kutoka kwa huyu mkali?
Snop dog, one of my favourite artist makes me fall in love with hip hop . Ngoma zake nyingi sana nazielewa ila sana sana kuna drop it like it hot, thats that na i wanna rock.

Hapo kwenye kuoa pamoja na tabia pia tuzingatie probability ya muonekano wa watoto watarajiwa. Sema iyo picha ni ambayo wote washazeeka ukitafuta picha ya enzi za ujana wao uyo mke wa snoop dog alikua kisu fulani amaizing kwa wapenda vipatabo
 
Back
Top Bottom