Kwa mafanikio, oeni pisi za kawaida

Kwa mafanikio, oeni pisi za kawaida

Hii ndio point yenyewe.....maana pisi kali mpaka akuvulie chupi ujue million tatu zimekutoka kama sio sita
Milioni 6 kwaajili ya yeye kukuvulia tu chupi yake? Hawa watu mbona huwa mnawakuza sana?

Unless uwe umepungukiwa katika mengi kimapenzi, hivyo unatafuta validation kwa kutumia pesa.
 
Haya maisha oa kwa sababu umempenda,imagine unao sababu ana muonekano huo kisha unakuja kumfumania nyumbani kwako mjinga ni nani zaidi yako,unamuoa ila kutwa kuzurura na wanawake wengine unatoa ukimwi nje unaleta ndani ya nyumba,unachezea wadada wazuri unaamua kuoa wa kawaida mwisho wa siku unakuja gundua alitoaga mimba hivyo hawezi kupata mtoto!Haya maisha ni muhimu kujua unachokitaka na unachokifanya maana mwisho wa siku huwa ni majuto
 
Back
Top Bottom