Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Hii ndio point yenyewe.....maana pisi kali mpaka akuvulie chupi ujue million tatu zimekutoka kama sio sitaWadada wa kawaida ndio wanaongoza kwa kuliwa sababu wanafikiwa na wanaume wengi tofauti na pisi kali!
Hayanaga muongozo...!🤸
Formula ipo sema hamuitaki tuuilaaaa hayanaga formula
Na vijana million 6, 3 hawana..!Hii ndio point yenyewe.....maana pisi kali mpaka akuvulie chupi ujue million tatu zimekutoka kama sio sita
Tutatoa wapi wakati ajira zenyewe hatuna tunakuna pumbu tuu mtaaniNa vijana million 6, 3 hawana..!
Wanaume wengi tunayumbishwa na pisi kali tunazozimiliki, wengi tumejikuta tumeshindwa ata kumiliki mashine ya kupukuchua mahindi kwa sababu ya kuhudumia pisi kali.
Migogoro imekuwa ni mingi ndani ya familia/mahusiano, kutokana na pisi kali kujiona ni mzuri na kumfanya mwanaume kuwa mtumwa katika mahusiano.
Kuchapiwa imekuwa ni kitu cha kawaida,kwa sababu kila wapitapo upigiwa miluzi na mabaharia.
Kwa ushauri tu,oeni pisi za kawaida ili kuepukana na magonjwa ya akili ya kujitakia, pamoja na kuboresha mafanikio.
Unakumbuka wimbo gani kutoka kwa huyu mkali?
View attachment 3021712
Hakunaga mdada wa kawaida cha muhimu pale pawepo tu😊Wadada wa kawaida ndio wanaongoza kwa kuliwa sababu wanafikiwa na wanaume wengi tofauti na pisi kali!
Hayanaga muongozo...!🤸
Akipita tuu mbele yako unataka kumrukiaIli ufurahie ndoa oa mwanamke ambaye unavutiwa naye
Bas kweli boda inalipa. Mzee wa mbususu kumbe hua unahonga hadi milioni 3??Hii ndio point yenyewe.....maana pisi kali mpaka akuvulie chupi ujue million tatu zimekutoka kama sio sita
Akipita chuma kinanyanyuka. Unachukua unaweka waaah!!Akipita tuu mbele yako unataka kumrukia
Ila pisi kali wanaumizaHayana muongozo, maumivu yapo palepale hata ukioa asiye na K