Kwa mahitaji ya nyumba, mashamba, viwanja vya aina zote, fremu, maofisi Dodoma iwe kupanga au kununua tafadhali wasiliana nami

Hahaha,kaka dodoma pazuri mbona.To be honest halijapimwa,hata ukiliangalia bado halijasafishwa vizuri zaidi.nilikuwa mbali kwa muda mrefu mkuu!
Mji una vumbi kama kwenye mashine ya kukoboa na kusaga...

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mji una vumbi kama kwenye mashine ya kukoboa na kusaga...

Post sent using JamiiForums mobile app
Inaonekana hukukaa dodoma umepita tu.kama ni vumbi kuna mikoa ni kiboko gusa mbeya,tabora,n.k!!!hujatembea wewe,uliza watu waliotembea
 
Habari zenu wakuu!
Naomba kuwashauri watu wote wanaotaka kuhamia dodoma na wana mpango wa kujenga na hawana viwanja kuwa muda wa kununua viwanja ni sasa endapo utachelewa basi gharama itakuwa kubwa zaidi.maeneo yapo mengi na mazuri kwa makazi,biashara na huduma zingine za kijamii kama vile shule,hospitali,n.k!!!kwa mfano mdogo kuna maeneo kama unaenda machinjion dodoma mjini yako bado wazi afu kuna makazi mengi sana jirani yake,na watu wanafata huduma za kijamii mbali.hakuna shule wala hospital jiran!!!nina eneo pia la ekari 5 maeneo ya mnadani kwa atakayehitaji naomba tuwasiliane.nauza milioni 4 kwa ekari moja(4000square metres) bei sawa na bure.karibuni sana muda ndio huu
Contact; 0767833496
Nawasilisha
 
Asante sana kwa ushauri ndugu yangu, vipi mbona wewe unauza sasahivi inamaana wewe hupendi kupata pesa nyingi zaidi once bei zikipanda, au umeamua kusaidia watu tu.
 
Hayo maeneo yamepimwa mkuu maana unaweza nunua eneo ukaambiwa hapa umenunua ki makosa , ushaur hebu tafuta hati nazan utauza kiurahis zaid likiwa na hati
 
Mimi nategemea kuhamia huko mwezi February mwakani vipi naweza kupata heka Moja kwa Milioni5 maeneo ya Mkalama? kwasababu ofisi yetu inategemea kujengwa karibu na Mkalama. Kama kuna mtu anauza nipo tayari kwenda kuona.
 
Asante sana kwa ushauri ndugu yangu, vipi mbona wewe unauza sasahivi inamaana wewe hupendi kupata pesa nyingi zaidi once bei zikipanda, au umeamua kusaidia watu tu.
Shida hizi mkuu,siunajua maisha tena.siuzi yote ila ndo jambo zuri
 
Hayo maeneo yamepimwa mkuu maana unaweza nunua eneo ukaambiwa hapa umenunua ki makosa , ushaur hebu tafuta hati nazan utauza kiurahis zaid likiwa na hati
Mkuu yapo yaliyopimwa na yana hati pia.karibu
 
Mimi nategemea kuhamia huko mwezi February mwakani vipi naweza kupata heka Moja kwa Milioni5 maeneo ya Mkalama? kwasababu ofisi yetu inategemea kujengwa karibu na Mkalama. Kama kuna mtu anauza nipo tayari kwenda kuona.
pale square meter moja ni elfu kumi. Hiyo heka kwa milioni tano utaitolea wapi?
 
ha ha ha kamata mwizii men..

lugha za biashara hizo hata machinga akikuuzia kitu anasema hiki hakipatikan tanzania

Asante sana kwa ushauri ndugu yangu, vipi mbona wewe unauza sasahivi inamaana wewe hupendi kupata pesa nyingi zaidi once bei zikipanda, au umeamua kusaidia watu tu.
 
Mimi nategemea kuhamia huko mwezi February mwakani vipi naweza kupata heka Moja kwa Milioni5 maeneo ya Mkalama? kwasababu ofisi yetu inategemea kujengwa karibu na Mkalama. Kama kuna mtu anauza nipo tayari kwenda kuona.
Mkuu mi sio dalali labda ntakusaidia kuuliza.ntakufata PM kama ntapata majibu yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…