steven13
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 341
- 178
- Thread starter
- #141
Baada ya kukwama kipesa nimeamua kuuza eneo langu lililopo maeneo ya tanesco kama unakwenda michese.lina ukubwa wa square metre 4420(eka moja na kidogo).linapaka na makazi ya watu,umeme nguzo ipo kabisa tushaweka ni wewe tu kufunga umeme wako!maji yako jirani sana,umbali mchache sana toka barabara ya lami!!!huduma za ujenzi kama vile tofali,cement,n.k zinapatikana karibu!!!Lina hati,pia kuna bikoni mbili kutoka kwa jirani aliyepimiwa.muda wowote toka hivi sasa litakuwa limeshakamilishwa kupimwa!!!lina mapagale mawili moja lina vyumba 12,na jingine vyumba 2.bei ni nafuu sana,milioni 35!!!maelewano yapo!!!wanaoyajua maeneo watakua wanaelewa bei za viwanja haishuki milioni 90 kwa eka.ni maeneo ya kishua,karibuni!!kwa mawasiliano zaidi<br />Phone; 0767833496<br />Email ;stevenmasaka@gmail.com