Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Millard kafanya mahojiano na bonge kueleza kwa undani kilkchotokea. Tunamjua Millard🌚🌚... mnasemaje wakuu?
Wazee wa kusoma kuread between the lines na kuangalia body language, ukiangalia maswali ya Ayo TV na majibu ya Bonge, unapata conclusion gani?
Naomba pia ujikumbushe kwenye uzi niliweka juzi (nimeanza kuwa kama Pascal Mayalla kwarudisha nyuma kiintelijensia tuunge dots😀😀): Utekaji kuhusishwa na uhasama wa kibiashara ni namna ya kuwaepusha wahusika halisi kuwajibika? Tukio Dar24 limeishaje?
Deo amenza kwa kumshuru Mungu na Watanzania walioguswa na tukio lile na kupaza sauti zao, ameuhakikishia umma kuwa yupo salama kabisa. Pia amelishukuru Jeshi la Polisi kwa kumpa ushirikiano wa hali ya juu toka tikio lilipotokea mpaka sasa, bado ana imani na jeshi la polisi kuwa watakamilisha kazi yao ili haki iweze kupatikana.
Deo amesema tuliamini Jeshi la Polisi kuwa watafanya kazi yao kwa weledi na kwamba yeye hawezi kuzungumzia lolote kuhusu lile tukio kwasababu linafanyiwa uchunguzi na jeshi la polisi, uchunguzi huo ukikamilika watatoa taarifa zaidi.
Mwandishi kamuuliza kuhusu tukio hili kuhusika na siasa kwa kuandika kwenye mitandao kuhusu siasa ama kuigusa serikali kwa namna yote; akijibu swali hili Deo amesema hapana, tukio lile halina itikadi ya siasa sababu yeye siyo mwanasiasa au ‘mtu wa kuandika andika mtandaoni’, mwandishi akauliza tena kwahiyo tukio lipo zaidi kibiashara… Deo akajibu kama nilivyosema siwezi kuliongelea zaidi, tuache Jeshi la Polisi wafanye kazi yao.
Kuhusu watu kutofanya lolote na kuacha apambane mwenyewe, Deo amewaasa watanzania kuongeza umoja na kushirikiana unapoona mwenzako amepata tatizo, leo linaweza kuwa kwake siku nyingine likatokea kwako msomaji. Unaweza usiingia kuanza kushikana na watekaji lakini ukahoji kinachoendelea na kupaza sauti apate usaidizi.
Mwandishi amemuuliza kama anaona kuna mwanga kwenye ufuatiliaji wa Jeshi la Polisi kama haki itapatikana, Deo amejibu ana imani Jeshi la Polisi litafanya kazi yake.
Deo ameongeza kuwa baada ya majohinao haya na Ayo TV tuache Jeshi la polisi lifanye kazi yake, ameshatoa taarifa kuwa yupo salama, basi vyombo vya habari vimuache apumue, uchunguzi ukimalika na Jeshi la Polisi likitoa taarifa yake labda hapo ndio ataweza kuongea tena.
Mwandishi akamwambia atuhadithie kidogo ilivyokuwa mpaka akaweza kujinasua, Deo amesisitiza tena kuwa maelezo mengine yatatolewa na Jeshi la Polisi.
Millard kafanya mahojiano na bonge kueleza kwa undani kilkchotokea. Tunamjua Millard🌚🌚... mnasemaje wakuu?
Wazee wa kusoma kuread between the lines na kuangalia body language, ukiangalia maswali ya Ayo TV na majibu ya Bonge, unapata conclusion gani?
Naomba pia ujikumbushe kwenye uzi niliweka juzi (nimeanza kuwa kama Pascal Mayalla kwarudisha nyuma kiintelijensia tuunge dots😀😀): Utekaji kuhusishwa na uhasama wa kibiashara ni namna ya kuwaepusha wahusika halisi kuwajibika? Tukio Dar24 limeishaje?
Deo amenza kwa kumshuru Mungu na Watanzania walioguswa na tukio lile na kupaza sauti zao, ameuhakikishia umma kuwa yupo salama kabisa. Pia amelishukuru Jeshi la Polisi kwa kumpa ushirikiano wa hali ya juu toka tikio lilipotokea mpaka sasa, bado ana imani na jeshi la polisi kuwa watakamilisha kazi yao ili haki iweze kupatikana.
Deo amesema tuliamini Jeshi la Polisi kuwa watafanya kazi yao kwa weledi na kwamba yeye hawezi kuzungumzia lolote kuhusu lile tukio kwasababu linafanyiwa uchunguzi na jeshi la polisi, uchunguzi huo ukikamilika watatoa taarifa zaidi.
Mwandishi kamuuliza kuhusu tukio hili kuhusika na siasa kwa kuandika kwenye mitandao kuhusu siasa ama kuigusa serikali kwa namna yote; akijibu swali hili Deo amesema hapana, tukio lile halina itikadi ya siasa sababu yeye siyo mwanasiasa au ‘mtu wa kuandika andika mtandaoni’, mwandishi akauliza tena kwahiyo tukio lipo zaidi kibiashara… Deo akajibu kama nilivyosema siwezi kuliongelea zaidi, tuache Jeshi la Polisi wafanye kazi yao.
Kuhusu watu kutofanya lolote na kuacha apambane mwenyewe, Deo amewaasa watanzania kuongeza umoja na kushirikiana unapoona mwenzako amepata tatizo, leo linaweza kuwa kwake siku nyingine likatokea kwako msomaji. Unaweza usiingia kuanza kushikana na watekaji lakini ukahoji kinachoendelea na kupaza sauti apate usaidizi.
Mwandishi amemuuliza kama anaona kuna mwanga kwenye ufuatiliaji wa Jeshi la Polisi kama haki itapatikana, Deo amejibu ana imani Jeshi la Polisi litafanya kazi yake.
Deo ameongeza kuwa baada ya majohinao haya na Ayo TV tuache Jeshi la polisi lifanye kazi yake, ameshatoa taarifa kuwa yupo salama, basi vyombo vya habari vimuache apumue, uchunguzi ukimalika na Jeshi la Polisi likitoa taarifa yake labda hapo ndio ataweza kuongea tena.
Mwandishi akamwambia atuhadithie kidogo ilivyokuwa mpaka akaweza kujinasua, Deo amesisitiza tena kuwa maelezo mengine yatatolewa na Jeshi la Polisi.