King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kabisa.Atakuwa katishiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa.Atakuwa katishiwa
Atakuwa ni tapeli huyoUsiondokee hapo ulipo watekajii wanarudi tenaa kukuchukuaa ...ww sifia sifia tu
Naye siyo mtamu snKabisa.
Mkuu, kama kuna magenge yanamiliki silaha za kivita kwa ajiri ya uharifu, pingu ni kitu gani chiefNje na polisi nani anaruhusiwa kumiliki pingu na anajua matumizi ake kama siyo polisi wenyewe? kuna duka linauza pingu kwa watu binafsi kama chain ya kufungia mbwa?
Zinauzwa wapi na zinaingiaje nchini na wakati hatuna kiwanda cha kutengeneza silaha? watu wanajiamini wanaenda kuteka basi saa 11 jioni na kuua bila woga, kama ni magenge kwanini polisi hawataki kuvaa uniform wakati wa kukamata na kutoa vitambulisho pamoja na kutoa taarifa kwa Mwenyekiti mtaa/VEO/WEO?Mkuu, kama kuna magenge yanamiliki silaha za kivita kwa ajiri ya uharifu, pingu ni kitu gani chief
Nitake radhi kijana.Bawacha mna makasiriko sana aseeeh
Unawatoa Lissu na Boniface Yai au wao ni mabonge special?Nilitakaa nishangaee,hamnaga kibonge mwenye akili..