baba hayumo ?ina maana wazazi ni mama tu?shangazi?bibi?babu ?wadogo zake au kaka zake? si watu wa kusaidia hao?mkuu u know nothing about family!Mkuu kumsaidia mtu hata kama ni nduguyo si lazima ni hiari sasa wote wa mwangalie yeye kwa nini na wao wasijitahidi angalau wakatoka ki vingine? Nitamlaumu tu kama atakuwa kasahau mama basi
nimejiuliza sana hilo swali!watu wanawachukulia poa sana akina baba babu etcKwanini "mama" na si baba??
mkuu kuna baadhibya watu huwa hawajibiwi ,huyo keshajipambanua ni mtu wa aina ganinkwenye kufikiri kwa hiyo huwezi kukaa nae jukwaa moja mkajadili.wewe sio mstaarabu hata kidogo. na kwa kweli utakuw ni mpumbavuu sana. matusi yote haya ya nini? halafu unamuita mtu shoga halafu tena unamuita mdada. sasa hapo umemtukana tusi gani? aisee inashangaza watu wajinga hamjui hata kupangilia matusi. nenda shule kwanza pimbi wewe unaonekana ubongo upo empty
Baba na mamaMkuu kumsaidia mtu hata kama ni nduguyo si lazima ni hiari sasa wote wa mwangalie yeye kwa nini na wao wasijitahidi angalau wakatoka ki vingine? Nitamlaumu tu kama atakuwa kasahau mama basi
Habari zake huwa nasikia anamtaja mama sijasikia kuhusu baba kama yupo atakuwa kwenye kundi la mama kwa vile yeye pia mzazi lakini waliobaki mkuu ni hiari kwani wao hawana watoto? Haya ya kupangiana hayapo kwa kweli, ndio maana familia zetu zinaishia kwenye umasikini watu wanabweteka kisa fulani anazo, haipo hiyo. Kukiwa na tatizo hiyo ni kesi nyingie, nadhani nimeelewekababa hayumo ?ina maana wazazi ni mama tu?shangazi?bibi?babu ?wadogo zake au kaka zake? si watu wa kusaidia hao?mkuu u know nothing about family!
Tuko pamojaKuna ubaya gani kwenye kulima mihogo?
Kwa hiyo wewe kutoka kwao unataka ueaone wanaishi mjini kwenye mjumba mkubwa.. bila kazi wakisubiri kupewa na ndio useme wametoka kimaisha..
Nani alikuambia kuwa na kazi ya kilimonhuwezi kuwa umetoka.. na pia hayo ya mtu kupewa pesa sio lazima apewe hadi apae.. kuna kupewa na kujisaidia kuendelea..
Pia wewe una lako.. hao ndugu zake hujasema kama ni siblings au wa ukoo.. acha wivu.. juzi alipokuwa anampeleka Mama yake sijui SA kimatibabu or so mbona haukumsema..
Unamlingamisha na Diamond kweli? Kabisa?japo hana ulazima.. ila ajifunze kwa bosi wake...
diamond kasaidia wengi sana ndugu zake kuanzia esma, queen darleen, rommy jones wazaz wake pia.. pale WCB asilimia kubwa ya wafanyakazi nje muziki ni anaowajua toka tandale...
so Harmonize nae akumbuke jamaa zake na ndugu
Hapo ndipo mawazo yako yalipoishia?ACHA WIVU WA KIKE SHO.G.ER WEWE.SIO LAZIMA UWEKE WIVU WA KIKE KWA WASANII WA WCB.UTAKUWA UNATAFUTA BWANA WEWE MDADA
Mkuu acha kufatilia maisha ya watu fanya yanayokuhusu!!!!hyo buku yako ya bando ungeipelekaa hata kanisani sio kufatilia maisha yawatu.Chukua hatuaKwa wanaowafahamu ndugu zake na Monde boy Mtwara harafu Dogo akifika Dar anagawa Pesa kwa wengine inaniuma sana hata kama siyo ndugu zangu! Ingefaa dogo aanze kuwasaidia ndugu zake kwanza wote watoke kimaisha, ndipo umwage pesa ovyo ovyo kuliko kufanya hivi wakati ndugu zake walio wengi tunaowafahamu bado wanapambana na hali zao kwa kulima mhogo huko Mtwara
Kwa watu wa mtwara mtaelewa ninachokisema na kukimaanisha hapa, tofauti na wanaume wa Dar