Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #21
Huu ndio upotoshaji mliokuwa mnadanganywa na viongozi wa upinzani.Ofisi ya Dpp haikusanyi mapao,bali wahalifu wanalipa kile kinachotakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria.Ukishafanya ofisi ya DPP kuwa ninofisi ya kujusanya mapato, mfumo wako wa haki una matatizo makubwa sana.
Hii kitu ilipita bungeni,wabunge wakapitisha. Unaposema sheria kandamizi una maana gani? Hakuna mtuhumiwa anayelazimishwa kufanya plea bargaining.
Changu,acha kujifanya zezeta,
Kina Rugemalila ni mwaka wa ngapi wako jera na upelepezi haujakamilika hadi kesho,na walilazimishwa wakili ili wawapole pesa zao kwa njia ya DPP,lakini walikataa,
Je Kama walitenda makosa ,mbona upeleleIezi haujakamilika hadi leo?
Je Rugemarila na Seth wangekuwa waoga huoni wangekuwa wameibiwa pesa zao kupitia DPP au Kama walivyopolwa wenye maduka ya kubadilishia fedha?
Mbona inaonekana mkurupukaji ni wewe.
Usiangalie tu upatikanaji wa hela. Hata jambazi huua, hupora, na kisha hupata hela. Na anaweza kuitumia pesa hiyo kuchangia arusi na kwenye misiba.
Asilimia kubwa ya hawa waliotoa hiyo pesa, wameporwa. Wamekubali kununua uhuru wao kutokana na kushindwa kuhimili maisha ya mateso yaliyopo magerezani. Wengi wamesoteshwa mahabusu za magerezani kwa zaidi ya mwaka mzima ili kuwalazimisha wakubali.
Walitengenezwa makosa, wakasoteshwa mahabusu kwa muda mrefu, DPP alikosa uthibitisho wa kuwatia hatiani kwa mujibu wa sheria. Wamelazimika kulipa ili wawe huru, wakaungane na familia zao. Na Jiwe alisema watakaokataa kukiri na kutoa pesa, wasoteshwe mahabusu bila huruma!!
Kufurahia unyama ni kushiriki ushetani. Mungu wa haki, asimame na wale walionewa, na awalipie kisasi kwa aliyewaonea. Waliokuwa na makosa, hao ni haki yao kulipia makosa waliyoyafanya. Lakini tunajua kuwa wengi wao wameonewa, ndiyo maana DPP alishindwa kuwasilisha ushahidi mahakamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakama zinazotoa haki hazina maana tena. Nadhani katika utawala huu job description ya DPP has been reviewed/ revised to be part of Tax collection Authority kama Pilice...Huu ndio upotoshaji mliokuwa mnadanganywa na viongozi wa upinzani.Ofisi ya Dpp haikusanyi mapao,bali wahalifu wanalipa kile kinachotakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria.
Unaongea nini Mkuu? Plea guilty unaijua au huijui? Mtu amekiri kosa na akawa tayari kulipa faini kwa DPP shida iko wapi? Kama anaona kulipa faini anaonewa asubiri aende mahakamani. Nchi ilikuwa shamba la bibi hii. Kuna muda namkubali JPM sana, kuna wakati tajiri alikuwa na uwezo wa kufanya chochote na hakuna wa kuhoji.
Mwambie mbowe nae akiri arudishe pesa za wabunge na ruzuku alizokula mambo yaishe.
Okay huyu ambae hajakiri kwanini haend mahakamani akashitakiwe ili tujue anamakosa why the lag ? Me sijui sheria lakini, tel me kwan hakuna ukomo wa kukaa mahabusu ? je ukomo wa kitafuta ushahid haupo ? hivi vitu vya kuangaliwa pia , sababu aliekubali na kukataa wote wana haki sawa, kumbuka hawa watu ni watuhumiwa tu hatuna uhakika kama walifanya kweli...Naomba unieleweshe
So what? Vipi waliodhoofika jela kwa kuiba ng'ombe? Wao wanastahili kudhohofika?Najua mengi Chief lakini hii mitandao siwez kuandika kila jambo. Baki kujua kile unachojua tu. Last time nimeonana na mzee Rugemarila alikuwa amedhoofu kiafya kama binadamu huruma iliniingia sana.
So what? Vipi waliodhoofika jela kwa kuiba ng'ombe? Wao wanastahili kudhohofika?
???...!Keyboard warrior keep attacking
Najua mengi Chief lakini hii mitandao siwez kuandika kila jambo. Baki kujua kile unachojua tu. Last time nimeonana na mzee Rugemarila alikuwa amedhoofu kiafya kama binadamu huruma iliniingia sana.
Je,wote wanaoshtakiwa wana hatia?Vp ikitokea kwako na huna hatia na wew unajua hivyo na umeshasota jela kwasababu kesi yako haina dhamana,ikitokea fursa ya kulipa hutalipa?Hutanunua uhuru wako?Hii kitu ilipita bungeni,wabunge wakapitisha. Unaposema sheria kandamizi una maana gani? Hakuna mtuhumiwa anayelazimishwa kufanya plea bargaining.
Hii kitu ilipita bungeni,wabunge wakapitisha. Unaposema sheria kandamizi una maana gani? Hakuna mtuhumiwa anayelazimishwa kufanya plea bargaining.
Huoni kwamba mnaweka bei ya uhalifu hapo?Huu ndio upotoshaji mliokuwa mnadanganywa na viongozi wa upinzani.Ofisi ya Dpp haikusanyi mapao,bali wahalifu wanalipa kile kinachotakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria.
Ahaaa ahaaa nimecheka kwa nguvu, eti amenipa makavu.Nashukuru,umempa makavu.
Huna ulijialo zaidi ya uchangudo wa huko malundeWanabodi hapa JF ninyi ni mashahidi jinsi wapinzani Tanzania walivyopinga utaratibu wa kisheria wa mtuhumiwa wa baadhi ya makosa ya jinai hasa uhujumu uchumi kuingia mkataba na Dpp ili kukiri kisha kulipa na kurejesha walichokuwa wamewaponza watanzania.
Utaratibu huu ulipata baraka za Bunge la Tanzania. Kifungu cha 194 cha CPA kilifanyiwa marekebisho,na mtuhiwa wa makosa hasa jinai anaweza kuingia makubaliano na Dpp kisha kulipa kile acho hujumu.
Nia hasa ya kuleta huu utaratibu ni kuwezesha kesi kuisha kwa uharaka na kupunguza msongamano wa mahabusu gerezani. Lakini jambo ambalo wapinzani wa hapa Tanzania walikengeuka na kuanza kueneza uongo kuwa huu utaratibu umewekwa ili kumnufaisha DPP.
Maneno na porojo nyingi zimetangazwa hapa Tanzania. Mara DPP amepewa mtaji wa kujinuisha,mara huu utaratibu wa kisheria umewekwa kuwakamua wapinzani na wakosoaji wa serikali iliyipo madarakani.
Leo hii kuna gazeti la hapa Tanzania limetoa takwimu kuwa Bil 123.6 zimekusanywa kupitia ofisi ya DPP. Hii ni habari njema sababu pesa hizi zimekusanywa kwa mujibu wa sheria. Na nia kuu ni kuhakikisha waliofanya makosa hawakai rumande muda mrefu,huku magereza yakipumua maana mrundikano wa wafungwa na mahabusu ni mkubwa.
Oni langu, wapinzani msiwe mnakurupuka kupinga kila kitu kisa tu mnatafuta kick kwa wanachi .
Unaweza kua na Mali nyingi with no value kwamba,walala chini, watembea na nduguzo,wavaa kandambili,n.k but hu tajiri but utajiri wako hauna value,pia waweza kusanya PESA nyingi kwa cheo au mamlaka uliyonayo but haina value,so which is betterWanabodi hapa JF ninyi ni mashahidi jinsi wapinzani Tanzania walivyopinga utaratibu wa kisheria wa mtuhumiwa wa baadhi ya makosa ya jinai hasa uhujumu uchumi kuingia mkataba na Dpp ili kukiri kisha kulipa na kurejesha walichokuwa wamewaponza watanzania.
Utaratibu huu ulipata baraka za Bunge la Tanzania. Kifungu cha 194 cha CPA kilifanyiwa marekebisho,na mtuhiwa wa makosa hasa jinai anaweza kuingia makubaliano na Dpp kisha kulipa kile acho hujumu.
Nia hasa ya kuleta huu utaratibu ni kuwezesha kesi kuisha kwa uharaka na kupunguza msongamano wa mahabusu gerezani. Lakini jambo ambalo wapinzani wa hapa Tanzania walikengeuka na kuanza kueneza uongo kuwa huu utaratibu umewekwa ili kumnufaisha DPP.
Maneno na porojo nyingi zimetangazwa hapa Tanzania. Mara DPP amepewa mtaji wa kujinuisha,mara huu utaratibu wa kisheria umewekwa kuwakamua wapinzani na wakosoaji wa serikali iliyipo madarakani.
Leo hii kuna gazeti la hapa Tanzania limetoa takwimu kuwa Bil 123.6 zimekusanywa kupitia ofisi ya DPP. Hii ni habari njema sababu pesa hizi zimekusanywa kwa mujibu wa sheria. Na nia kuu ni kuhakikisha waliofanya makosa hawakai rumande muda mrefu,huku magereza yakipumua maana mrundikano wa wafungwa na mahabusu ni mkubwa.
Oni langu, wapinzani msiwe mnakurupuka kupinga kila kitu kisa tu mnatafuta kick kwa wanachi .
Kumbe kesi ni mtaji wa maendeleo?Wanabodi hapa JF ninyi ni mashahidi jinsi wapinzani Tanzania walivyopinga utaratibu wa kisheria wa mtuhumiwa wa baadhi ya makosa ya jinai hasa uhujumu uchumi kuingia mkataba na Dpp ili kukiri kisha kulipa na kurejesha walichokuwa wamewaponza watanzania.
Utaratibu huu ulipata baraka za Bunge la Tanzania. Kifungu cha 194 cha CPA kilifanyiwa marekebisho,na mtuhiwa wa makosa hasa jinai anaweza kuingia makubaliano na Dpp kisha kulipa kile acho hujumu.
Nia hasa ya kuleta huu utaratibu ni kuwezesha kesi kuisha kwa uharaka na kupunguza msongamano wa mahabusu gerezani. Lakini jambo ambalo wapinzani wa hapa Tanzania walikengeuka na kuanza kueneza uongo kuwa huu utaratibu umewekwa ili kumnufaisha DPP.
Maneno na porojo nyingi zimetangazwa hapa Tanzania. Mara DPP amepewa mtaji wa kujinuisha,mara huu utaratibu wa kisheria umewekwa kuwakamua wapinzani na wakosoaji wa serikali iliyipo madarakani.
Leo hii kuna gazeti la hapa Tanzania limetoa takwimu kuwa Bil 123.6 zimekusanywa kupitia ofisi ya DPP. Hii ni habari njema sababu pesa hizi zimekusanywa kwa mujibu wa sheria. Na nia kuu ni kuhakikisha waliofanya makosa hawakai rumande muda mrefu,huku magereza yakipumua maana mrundikano wa wafungwa na mahabusu ni mkubwa.
Oni langu, wapinzani msiwe mnakurupuka kupinga kila kitu kisa tu mnatafuta kick kwa wanachi .