Kwa makusanyo yaliyopatikana kupitia ofisi ya DPP ni dhahiri Wapinzani muache kupinga kila jambo

Kwa makusanyo yaliyopatikana kupitia ofisi ya DPP ni dhahiri Wapinzani muache kupinga kila jambo

Ukishafanya ofisi ya DPP kuwa ninofisi ya kujusanya mapato, mfumo wako wa haki una matatizo makubwa sana.
Huu ndio upotoshaji mliokuwa mnadanganywa na viongozi wa upinzani.Ofisi ya Dpp haikusanyi mapao,bali wahalifu wanalipa kile kinachotakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria.
 
Hii kitu ilipita bungeni,wabunge wakapitisha. Unaposema sheria kandamizi una maana gani? Hakuna mtuhumiwa anayelazimishwa kufanya plea bargaining.

Wapi wananchi tulishirikishwa ? au niseme lini ? bunge halifiki hata robo ya robo ya wanachi wote tanzania , how can you say kwamba bunge linarepresent wananchi wakati order zote anatoa mtu mmoja ? Hii nchi the minority rules the majority alafu bado mnaendelea kusifia mfumo mbovu kabisa.
 
Changu,acha kujifanya zezeta,
Kina Rugemalila ni mwaka wa ngapi wako jera na upelepezi haujakamilika hadi kesho,na walilazimishwa wakili ili wawapole pesa zao kwa njia ya DPP,lakini walikataa,
Je Kama walitenda makosa ,mbona upeleleIezi haujakamilika hadi leo?
Je Rugemarila na Seth wangekuwa waoga huoni wangekuwa wameibiwa pesa zao kupitia DPP au Kama walivyopolwa wenye maduka ya kubadilishia fedha?

Wengi wanaoropoka hivyo hawapo kwene game , inawezekanaje upelelezi haukamiliki
miaka yote hiyo what is going on ? nchi hii ina upuuz fulan huwa siuelewi
 
Mbona inaonekana mkurupukaji ni wewe.

Usiangalie tu upatikanaji wa hela. Hata jambazi huua, hupora, na kisha hupata hela. Na anaweza kuitumia pesa hiyo kuchangia arusi na kwenye misiba.

Asilimia kubwa ya hawa waliotoa hiyo pesa, wameporwa. Wamekubali kununua uhuru wao kutokana na kushindwa kuhimili maisha ya mateso yaliyopo magerezani. Wengi wamesoteshwa mahabusu za magerezani kwa zaidi ya mwaka mzima ili kuwalazimisha wakubali.

Walitengenezwa makosa, wakasoteshwa mahabusu kwa muda mrefu, DPP alikosa uthibitisho wa kuwatia hatiani kwa mujibu wa sheria. Wamelazimika kulipa ili wawe huru, wakaungane na familia zao. Na Jiwe alisema watakaokataa kukiri na kutoa pesa, wasoteshwe mahabusu bila huruma!!

Kufurahia unyama ni kushiriki ushetani. Mungu wa haki, asimame na wale walionewa, na awalipie kisasi kwa aliyewaonea. Waliokuwa na makosa, hao ni haki yao kulipia makosa waliyoyafanya. Lakini tunajua kuwa wengi wao wameonewa, ndiyo maana DPP alishindwa kuwasilisha ushahidi mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app

sa nashindwa kuelewa watu wanasubirije huku muda mrefu ivyo ? kwanini wanaokayaa wasipelekwe mahakamani ili wakionekana wana makosa washindiliwe nyundo za kutosha ?
 
Huu ndio upotoshaji mliokuwa mnadanganywa na viongozi wa upinzani.Ofisi ya Dpp haikusanyi mapao,bali wahalifu wanalipa kile kinachotakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria.
Mahakama zinazotoa haki hazina maana tena. Nadhani katika utawala huu job description ya DPP has been reviewed/ revised to be part of Tax collection Authority kama Pilice...
 
Unaongea nini Mkuu? Plea guilty unaijua au huijui? Mtu amekiri kosa na akawa tayari kulipa faini kwa DPP shida iko wapi? Kama anaona kulipa faini anaonewa asubiri aende mahakamani. Nchi ilikuwa shamba la bibi hii. Kuna muda namkubali JPM sana, kuna wakati tajiri alikuwa na uwezo wa kufanya chochote na hakuna wa kuhoji.

Okay huyu ambae hajakiri kwanini haend mahakamani akashitakiwe ili tujue anamakosa why the lag ? Me sijui sheria lakini, tel me kwan hakuna ukomo wa kukaa mahabusu ? je ukomo wa kitafuta ushahid haupo ? hivi vitu vya kuangaliwa pia , sababu aliekubali na kukataa wote wana haki sawa, kumbuka hawa watu ni watuhumiwa tu hatuna uhakika kama walifanya kweli...Naomba unieleweshe
 
Mwambie mbowe nae akiri arudishe pesa za wabunge na ruzuku alizokula mambo yaishe.

Yan tunaongelea hili Taifa unamtaja mtu mmoja hapa ambae ni Toothless dog kwene serikali ya Tanzania unamaanisha nini ?
 
Okay huyu ambae hajakiri kwanini haend mahakamani akashitakiwe ili tujue anamakosa why the lag ? Me sijui sheria lakini, tel me kwan hakuna ukomo wa kukaa mahabusu ? je ukomo wa kitafuta ushahid haupo ? hivi vitu vya kuangaliwa pia , sababu aliekubali na kukataa wote wana haki sawa, kumbuka hawa watu ni watuhumiwa tu hatuna uhakika kama walifanya kweli...Naomba unieleweshe

Najua mengi Chief lakini hii mitandao siwez kuandika kila jambo. Baki kujua kile unachojua tu. Last time nimeonana na mzee Rugemarila alikuwa amedhoofu kiafya kama binadamu huruma iliniingia sana.
 
Najua mengi Chief lakini hii mitandao siwez kuandika kila jambo. Baki kujua kile unachojua tu. Last time nimeonana na mzee Rugemarila alikuwa amedhoofu kiafya kama binadamu huruma iliniingia sana.
So what? Vipi waliodhoofika jela kwa kuiba ng'ombe? Wao wanastahili kudhohofika?
 
Najua mengi Chief lakini hii mitandao siwez kuandika kila jambo. Baki kujua kile unachojua tu. Last time nimeonana na mzee Rugemarila alikuwa amedhoofu kiafya kama binadamu huruma iliniingia sana.

Mkuu nieleweshe kidogo tu , ujue jela na mahabusu kwa mwanaume iko karibu sana leta tu ufafanuzi itakuwa vizuri na wengine waelewe mkuu...iko hivi mkuu mimi napenda kujifunza sawa ? huwa nna maswali mengi sana ya sehemu tofauti sasa basi nikipataga nafasi ya kupata sehemu yakuuliza mengine nashoot to moja kwa moja, nataka kujifunza . Alafu kitu kingine naona mbona vitu vingine haviko logical kabisa na tukijoji in a broad day light we become the victims mzee.. I just want to learn...
 
Hii kitu ilipita bungeni,wabunge wakapitisha. Unaposema sheria kandamizi una maana gani? Hakuna mtuhumiwa anayelazimishwa kufanya plea bargaining.
Je,wote wanaoshtakiwa wana hatia?Vp ikitokea kwako na huna hatia na wew unajua hivyo na umeshasota jela kwasababu kesi yako haina dhamana,ikitokea fursa ya kulipa hutalipa?Hutanunua uhuru wako?
 
Hii kitu ilipita bungeni,wabunge wakapitisha. Unaposema sheria kandamizi una maana gani? Hakuna mtuhumiwa anayelazimishwa kufanya plea bargaining.

Kwani sheria kupita bungeni ndio sio kandamizi? Ni sheria ngapi kandamizi zimepita ndani ya hilo bunge kibogoyo, mpaka ikabidi mataifa ya nje ya kaweka mbinyo ili zibadilishwe?
 
Huu ndio upotoshaji mliokuwa mnadanganywa na viongozi wa upinzani.Ofisi ya Dpp haikusanyi mapao,bali wahalifu wanalipa kile kinachotakiwa kulipwa kwa mujibu wa sheria.
Huoni kwamba mnaweka bei ya uhalifu hapo?

Yani watu wanajua kabisa hapa napiga, nikikamatwa natubu halafu nalipa nilichopiga, nisipokamatwa nimeitoa.

Win win situation.

Mnahamasisha wezi.

Mfumo wa sheria unajikita kwenye kukusanya mapato badala ya kuhukumu wahalifu.

Wahalifu wanaambiwa kiri kosa, lipa faini, tutakuachia.
 
Wanabodi hapa JF ninyi ni mashahidi jinsi wapinzani Tanzania walivyopinga utaratibu wa kisheria wa mtuhumiwa wa baadhi ya makosa ya jinai hasa uhujumu uchumi kuingia mkataba na Dpp ili kukiri kisha kulipa na kurejesha walichokuwa wamewaponza watanzania.

Utaratibu huu ulipata baraka za Bunge la Tanzania. Kifungu cha 194 cha CPA kilifanyiwa marekebisho,na mtuhiwa wa makosa hasa jinai anaweza kuingia makubaliano na Dpp kisha kulipa kile acho hujumu.

Nia hasa ya kuleta huu utaratibu ni kuwezesha kesi kuisha kwa uharaka na kupunguza msongamano wa mahabusu gerezani. Lakini jambo ambalo wapinzani wa hapa Tanzania walikengeuka na kuanza kueneza uongo kuwa huu utaratibu umewekwa ili kumnufaisha DPP.

Maneno na porojo nyingi zimetangazwa hapa Tanzania. Mara DPP amepewa mtaji wa kujinuisha,mara huu utaratibu wa kisheria umewekwa kuwakamua wapinzani na wakosoaji wa serikali iliyipo madarakani.

Leo hii kuna gazeti la hapa Tanzania limetoa takwimu kuwa Bil 123.6 zimekusanywa kupitia ofisi ya DPP. Hii ni habari njema sababu pesa hizi zimekusanywa kwa mujibu wa sheria. Na nia kuu ni kuhakikisha waliofanya makosa hawakai rumande muda mrefu,huku magereza yakipumua maana mrundikano wa wafungwa na mahabusu ni mkubwa.

Oni langu, wapinzani msiwe mnakurupuka kupinga kila kitu kisa tu mnatafuta kick kwa wanachi .
Huna ulijialo zaidi ya uchangudo wa huko malunde
 
Unanyan'ganya watu pesa kwa makosa ya kutunga,kisha unawambia walipe ili uwaachilie.tunajenga nchi ya hivyo kimaadili kila moja atatafuta kwa njia haramu kisha anajua atapewa faini tu ya kulipa pesa.
 
Wanabodi hapa JF ninyi ni mashahidi jinsi wapinzani Tanzania walivyopinga utaratibu wa kisheria wa mtuhumiwa wa baadhi ya makosa ya jinai hasa uhujumu uchumi kuingia mkataba na Dpp ili kukiri kisha kulipa na kurejesha walichokuwa wamewaponza watanzania.

Utaratibu huu ulipata baraka za Bunge la Tanzania. Kifungu cha 194 cha CPA kilifanyiwa marekebisho,na mtuhiwa wa makosa hasa jinai anaweza kuingia makubaliano na Dpp kisha kulipa kile acho hujumu.

Nia hasa ya kuleta huu utaratibu ni kuwezesha kesi kuisha kwa uharaka na kupunguza msongamano wa mahabusu gerezani. Lakini jambo ambalo wapinzani wa hapa Tanzania walikengeuka na kuanza kueneza uongo kuwa huu utaratibu umewekwa ili kumnufaisha DPP.

Maneno na porojo nyingi zimetangazwa hapa Tanzania. Mara DPP amepewa mtaji wa kujinuisha,mara huu utaratibu wa kisheria umewekwa kuwakamua wapinzani na wakosoaji wa serikali iliyipo madarakani.

Leo hii kuna gazeti la hapa Tanzania limetoa takwimu kuwa Bil 123.6 zimekusanywa kupitia ofisi ya DPP. Hii ni habari njema sababu pesa hizi zimekusanywa kwa mujibu wa sheria. Na nia kuu ni kuhakikisha waliofanya makosa hawakai rumande muda mrefu,huku magereza yakipumua maana mrundikano wa wafungwa na mahabusu ni mkubwa.

Oni langu, wapinzani msiwe mnakurupuka kupinga kila kitu kisa tu mnatafuta kick kwa wanachi .
Unaweza kua na Mali nyingi with no value kwamba,walala chini, watembea na nduguzo,wavaa kandambili,n.k but hu tajiri but utajiri wako hauna value,pia waweza kusanya PESA nyingi kwa cheo au mamlaka uliyonayo but haina value,so which is better
 
Wanabodi hapa JF ninyi ni mashahidi jinsi wapinzani Tanzania walivyopinga utaratibu wa kisheria wa mtuhumiwa wa baadhi ya makosa ya jinai hasa uhujumu uchumi kuingia mkataba na Dpp ili kukiri kisha kulipa na kurejesha walichokuwa wamewaponza watanzania.

Utaratibu huu ulipata baraka za Bunge la Tanzania. Kifungu cha 194 cha CPA kilifanyiwa marekebisho,na mtuhiwa wa makosa hasa jinai anaweza kuingia makubaliano na Dpp kisha kulipa kile acho hujumu.

Nia hasa ya kuleta huu utaratibu ni kuwezesha kesi kuisha kwa uharaka na kupunguza msongamano wa mahabusu gerezani. Lakini jambo ambalo wapinzani wa hapa Tanzania walikengeuka na kuanza kueneza uongo kuwa huu utaratibu umewekwa ili kumnufaisha DPP.

Maneno na porojo nyingi zimetangazwa hapa Tanzania. Mara DPP amepewa mtaji wa kujinuisha,mara huu utaratibu wa kisheria umewekwa kuwakamua wapinzani na wakosoaji wa serikali iliyipo madarakani.

Leo hii kuna gazeti la hapa Tanzania limetoa takwimu kuwa Bil 123.6 zimekusanywa kupitia ofisi ya DPP. Hii ni habari njema sababu pesa hizi zimekusanywa kwa mujibu wa sheria. Na nia kuu ni kuhakikisha waliofanya makosa hawakai rumande muda mrefu,huku magereza yakipumua maana mrundikano wa wafungwa na mahabusu ni mkubwa.

Oni langu, wapinzani msiwe mnakurupuka kupinga kila kitu kisa tu mnatafuta kick kwa wanachi .
Kumbe kesi ni mtaji wa maendeleo?
 
Back
Top Bottom