Uchaguzi 2020 Kwa mambo haya 10, mimi kama Mtumishi wa Umma (mwalimu), John Pombe Magufuli sikupi kura yangu asilani

Bila shaka wewe ni mwanafunzi wangu na ulikuwa mbumbumbu ukazungusha.
Siwezi kuwa na mwalimu mjinga kama wewe unamjua mabirika aka alshababu mzee wa kunji UDSM 2011 ndio atakupa habari zangu mi siwezi kuwa na mwalimu mjinga kama wewe tena nitolee mkosi wako pyuuuu se se se nyakusa voice
 
Pamoja na kujipitisha mashuleni kutuomba kura za huruma, mie nimeamua kura yangu sitampa mgombea wa ccm kama nilivyofanya 2015 hii ni kutokana na mambo 10 niliyoyaona kipindi hiki cha miaka mitano
Babia Ndonga Shokoloo, hauko peke yako na wala si waalimu peke yao wameathirika katika kipindi hiki cha miaka mitano, walioathirika ni wengi lakini kwa kipindi chote hicho hawakuwa na pa kusemea kwani uhuru huo walinyang'anywa na utawala wa kiimla usio na uvumilivu, usio na upendo, usio na subra, usio na hekima, usio na busara wala huruma.

Kulianza kujengeka tabia ya viongozi wetu kudhani kwamba wako juu ya sheria na kwamba haki zozote tulizo nazo ni kwa hisani zao na wanaweza kuzipoka wakati wowote wakitaka. Ilifikia hata wakajiaminisha kwamba hata haki yetu wananchi ya kuishi wanaimiliki wao na hivyo wakati wowote wakitaka hiyo haki wanaweza kuichukua.

Taifa lililosifika barani Afrika na duniani kote kama kisiwa cha amani ghafla wananchi wake wakaanza kuishi kwa hofu huku wakiwindwa kama nguchiro ndani ya nchi yao. Si wakulima, si wafanya biashara, si wafanya kazi, si wanafunzi...wote maisha yetu na mali zetu zikafungwa luku na kauli zetu zikatiwa kufuli, ole wako ukohoe!

Ametokea mkombozi kwa jina akiitwa Mh. Tundu Antiphas Lissu na katika kipindi kifupi cha miezi miwili tu ameweza kutukumbusha wajibu wetu kama wananchi huru. Katika muda huo mfupi, ameweza kutufungua macho na kutuondolea woga katika kuwakumbusha viongozi hawa kwamba madaraka waliyo nayo yanatoka kwetu wananchi; nasi tunaweza tukayapoka wakati wowote.

Nakuunga mkono Babia Ndonga Shokoloo, kumpigia kura mgombea wa CCM ni sawa na kujihukumu maisha ya hatari, maisha ya dhiki, maisha ya chuki, maisha ya ubaguzi...hapana, tarehe 28/10/2020 ni siku ya hukumu. Mateso ya miaka hii mitano sasa basi.
 
siyo walimu tu. wakulima wa korosho, pamba, kahawa, wote wanalia. dawa ni moja.................... Wafanya biashara, wanafunzi waliomaliza vyuo bila ajira......
 
Kila kitu kinanihusu mimi hapo kwa hiyo nakuunga mkono %zote mkuu big up, nakutumia vocha uongeze handle
 
Unataka uthibitishiwe vipi? Anayestahili kupandishwa mshahara ni mtumishi aliyetumikia serikali si chini ya miaka mitatu, 2014 hadi 2020 ni miaka mingapi? Usiongee Kama umeacha akili chooni
 
Laptop za kufanyia academic works kwani hata ni gharama basi, ni kwamba tu hawa majizi hawajaona umuhimu.
 
Mpuuzi wa kiwango kikubwa sana wewe! Eti asiwasemee waalimu,mbona wewe kima unawasemea

MAGUFULI HAPENDWI! NI RAIS ALIYESHINDWA KAZI YAKE IPASAVYO! MIAKA HII MITANO INAMTOSHA, APISHE AONDOKE, AENDE ZAKE CHATO!
 
Wapo walimu kibao watampigia wanaipenda ccm na jpm wewe kura yako moja haitabadili kitu!
Wako wapi hao walimu. Usione wamejikali kimya. Wmepanga kumshangaza jpm tar 28. Umeona watanzania walivyomfanya kwenye kampeni hizi??
 
We ni sifuri kabisa jibu hoja zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…