Uchaguzi 2020 Kwa mambo haya 10, mimi kama Mtumishi wa Umma (mwalimu), John Pombe Magufuli sikupi kura yangu asilani

Uchaguzi 2020 Kwa mambo haya 10, mimi kama Mtumishi wa Umma (mwalimu), John Pombe Magufuli sikupi kura yangu asilani

Siyo mwalimu huyo dalali tu, annual increment kila mwaka imekuwa ikiingia. Madaraja walimu tunaostahili tumepandishwa wale waliostahili kupandishwa halafu hawakupandishwa pasipo sababu walipolalamika maafisa utumishi waliwajibishwa. Acha kudandia taaluma za watu mimi ni mwalimu niko pamoja na magufuli.
Jikite kwenye siasa zako siyo kuwasemea waalimu.
Acha ubwegeza we annual increment ya lini usilete uzwazwa kwenye maisha ya watu
 
Walimu chama chenu kimetekwa hakuna wa kuwasemea na nyie ndo uwa mnasimamia uchaguzi mnaipitisha ccm bora muumie kidogo akili ziwakae sawa
 
Siyo mwalimu huyo dalali tu, annual increment kila mwaka imekuwa ikiingia. Madaraja walimu tunaostahili tumepandishwa wale waliostahili kupandishwa halafu hawakupandishwa pasipo sababu walipolalamika maafisa utumishi waliwajibishwa. Acha kudandia taaluma za watu mimi ni mwalimu niko pamoja na magufuli.
Jikite kwenye siasa zako siyo kuwasemea waalimu.
Hiyo increment unayoipata kila mwaka itakuwa ya nchi ya kusadikika,

Yaani mnajaribu kutengua hoja kizembe kweli, wewe sio mwalimu kama ni mwalimu bas wa nchi ya kusadikika ila siyo tz
 
Una uhakika? Utashushuliwa hapa.
Siyo mwalimu huyo dalali tu, annual increment kila mwaka imekuwa ikiingia. Madaraja walimu tunaostahili tumepandishwa wale waliostahili kupandishwa halafu hawakupandishwa pasipo sababu walipolalamika maafisa utumishi waliwajibishwa. Acha kudandia taaluma za watu mimi ni mwalimu niko pamoja na magufuli.
Jikite kwenye siasa zako siyo kuwasemea waalimu.
 
Nawashangaaga Sana wanao sema CCM itakaa miaka Mia moja madarakani. CCM hata kesho tu mkibadili tu nec iwe huru, maded wasishiriki kusimamia... Mmekwenda na maji..
 
Mwalimu Mwenzangu wewe nimuongo sana tumeongezewa mshahara mwaka huu
 
We sio mwalimu no kanjanja flani usie jua unacho kiongea natamani ata nikutafune mzima mzima
Kama ni kutetea ugali wako kiivyo umefeli kabisa afu ukute we ni kula kulala hujui at a aza kutafuta mkate wa kila siku
Watu wanaugua mafua kila siku unashindwa at a hela ya maziwa we unaleta porojo zako hapa pumbafu kabisa
Inawezekana alipanda daraja la Mfugale huyo
 
Siyo mwalimu huyo dalali tu, annual increment kila mwaka imekuwa ikiingia. Madaraja walimu tunaostahili tumepandishwa wale waliostahili kupandishwa halafu hawakupandishwa pasipo sababu walipolalamika maafisa utumishi waliwajibishwa. Acha kudandia taaluma za watu mimi ni mwalimu niko pamoja na magufuli.
Jikite kwenye siasa zako siyo kuwasemea waalimu.
Laptop umepata?
 
Yani walimu ndo secta yenye kero kuliko zote

Mungu nisaidie kidogo niingie huko aise, yaani walimu mnatia huruma.
 
Siku ya wafanya kazi walimu wanapiga miayo tu juani aibu sana, halafu juzi Magufuli kawapigia simu wakashangilia, kama ni mimi simpokelei simu yake
 
Back
Top Bottom