mastaa wenzio uko majuu wanatafuta kick then wanakua na kazi za kuuza sokoni either filamu, products au nyimbo , sasa huyu bibie anapenda kick za kipuuzi ambazo hazimpi ktuSidhani kama kuna tusi ambalo sijawahi kutukanwa.
Nakaribisha matusi yao.
Ney watu wanamuonaga chizi ila hasemagi uongo yuleHaaaa ukweli wa wimbo wa Neema unaanza kuonekana taratibu
Una uhakika gani kwamba huyo daktari kahusika kumsafisha? Labda kapewa rushwa ili aseme hivyo alivyosema je? Usimwamini sana Wema, kumbuka ile nyumba ya K,nyama alisema ni yake, baada ya kuiba umeme wa mamilioni ilibidi mwenye nyumba halisi ndio awajibike, kwa sababu bili zilisoma kwa jina lake. Dunia ina mambo hiiAnd hellow,
Yec, Wema was pregnant,
Kuna daktari wa Agakhan ameniambia na hata kusafishwa kasafishiwa pale,
So tunaweza kumpa pole au kukaa kimya kuliko kumbeza.
Hivi utashangaa hii mimba ikirudi wiki ijayo?
Na badala ya mapacha wawili tukaambiwa ni ya mapacha watatu?😀😀😀
Ila, ni kweli kulikuwa na mimba au walikuwa wanatafuta kiki tu?
Manake tuliambiagwa kuna nyumba ya milioni 400 [haikuingia akilini mwangu hizo hela zote alizitoa wapi], ikapotea. Ikaja sijui ya milioni 200 na kitu...nayo ikapotea. Yakaja magari kadhaa ya kifahari...kumbe nayo hayakuwa yake.
Hatujakaa kaa sawa jipu la umeme wa wizi likatumbuliwa.
Hapo huoni kuna pattern flani ya uongo.....?
Teh teh tehIdris nilivyomuona mimi mkuu hajielewi kabisaaaaaa, eti anasema anachompendea wema ni kwamba "anamfanya ajisikie mwanaume"!!!!!! Sielewi how, huko nyuma alikuwa anajisikia mwanamke au
Minyoo mapacha labda.Mweh... kumbe ilikuwa ya mapacha!???? 🙁
kumbe hayo maneno yote ka-google?????? nkaanza kuamini kuwa kumbe idrissa yupo "smart upstairs" dah kweli bongo nyosso. hadi sentensi tunagoogle.Ila ujumbe aloandika Idriss amegoogle, hii inamaanisha nini kukopi na kupaste? Wazee wa drama, attention seekers, dah inahuzunisha
kumbe hayo maneno yote ka-google?????? nkaanza kuamini kuwa kumbe idrissa yupo "smart upstairs" dah kweli bongo nyosso. hadi sentensi tunagoogle.Ila ujumbe aloandika Idriss amegoogle, hii inamaanisha nini kukopi na kupaste? Wazee wa drama, attention seekers, dah inahuzunisha
Kwa nnRoho imeniuma sana
wema sio wa kumwamini yule, mwanamke hafai hata kidogo, huyo idris namuonea huruma sanaUna uhakika gani kwamba huyo daktari kahusika kumsafisha? Labda kapewa rushwa ili aseme hivyo alivyosema je? Usimwamini sana Wema, kumbuka ile nyumba ya K,nyama alisema ni yake, baada ya kuiba umeme wa mamilioni ilibidi mwenye nyumba halisi ndio awajibike, kwa sababu bili zilisoma kwa jina lake. Dunia ina mambo hii
huyu wema dawa yake kumchoma moto kashatuchosha mbwa huyuUongo mwingine bwana......
Wema alishanichosha mimi, mara mimba, mara imeharibika, khaaa
Ahahahahaaaaa!!diamond alitukanwa sana kwa limimba feki la huyu dada!kwa hiyo wacha tu nisherehekee kifo cha maboksi mawili pachaHa ha ha ha ha nyk wewe
View attachment 323716
Mmmmmmmmmmmmmmmmmm!!!!!!!! watu mna visaMi nasubiria kwenda kuzika tuu, mazish lini?