Kwa maneno haya ya Idris, ni kweli mimba ya Wema ilitoka!

Kwa maneno haya ya Idris, ni kweli mimba ya Wema ilitoka!

Jamaa na ujanja wote kaingizwa mjini,
Kitaa ukiwa na mipesa ya mchezo unadanganywa binti ana mimba yako, mipesa ikiisha unaambiwa mimba imechomoka alipobeba ndoo ya maji.
1455711277777.jpg
 
Upo sahihi mkuu but Wema is so much more worse than her mama, maana Wema na dunia ya sasa ya mtandao imetafuna pia ubongo!

There is still time akiamua maana wanawake wengi tumepitia vipindi vya hatari wengine tulijeruhiwa during those times ila tumeweza kusimama tena, siunajua Wanasema it ain't over until the phat man sings! AJICHAMBUE before hawajamchambua!
Wema hata abadilike vipi? itakuwa vigumu akiwa Tanzania,she is carrying too much gabbage,at least labda nje wazungu hawa mind sana-Kwa Tanzania any man coming near her-huyo mtu atatengwa na family-kwa kifupi she is carrying too much gabbage for a Tanzanian to handle
 
Duu, pole sana Idris..., ingekua heri ungemsikiliza mwenzako; anyway lakini wema yuko bomba.

Habarini wana Jamvi

Baada ya Soudy Brown kulianzisha na kudai kuwa wema alikua na mimba watoto mapacha Bahati mbaya mimba hio imetoka....wengi walimlaumu na kumuona Mzushi! idriss na wema wote walikaa kwa mda bila kusema chochote hatimae leo Idrissa Ameandika hay baada ya kupost picha ya watoto mapacha

To my unborn twins,
.
So quickly you came into our lives,
So quickly torn away.
Never got the chance to meet you,
There's so much I want to say. All these thoughts running through my head,
It's enough to drive me insane.
Though you lived only six short weeks,
You were loved so very much.
I wish that I could hold you,
I long to feel your touch. I pray that in another life, We get the chance to meet. God brings and takes as he plans and we cannot complain but only pray that all that was for a better reason and a better plan in store for us. We have learnt lessons painfully but wont stop trying again and again and do swear by the time your brothers and sisters are made to come to this world we will be more than ready for them.
Sincerely Your Dad. ❤️
 
Uongo mwingine bwana......
Wema alishanichosha mimi, mara mimba, mara imeharibika, khaaa
 
Jamani kuharibu mimba ni jambo la kawaida,
Tatizo ni hilo la kuitangaza sana,
Ndio mana tunashauriwa na wazee wetu hata madaktari kua tusitangaze mimba angalau mpk ifike miezi 5,
Mimba changa hua rahisi sana kutoka,

Pia kitu nilichokua namsikitikia huyu dada ni kujiachia kwny kumbi za starehe na kuvaa high heels,
Wkt uzazi wenyewe wa kuusotea.
Ilitakiwa ajipe 'bed rest' mpk ikomae,
I hope next time watakua makini.
 
And hellow,
Yec, Wema was pregnant,
Kuna daktari wa Agakhan ameniambia na hata kusafishwa kasafishiwa pale,
So tunaweza kumpa pole au kukaa kimya kuliko kumbeza.
 
Habarini wana Jamvi

Baada ya Soudy Brown kulianzisha na kudai kuwa wema alikua na mimba watoto mapacha Bahati mbaya mimba hio imetoka....wengi walimlaumu na kumuona Mzushi! idriss na wema wote walikaa kwa mda bila kusema chochote hatimae leo Idrissa Ameandika hay baada ya kupost picha ya watoto mapacha

To my unborn twins,
.
So quickly you came into our lives,
So quickly torn away.
Never got the chance to meet you,
There's so much I want to say. All these thoughts running through my head,
It's enough to drive me insane.
Though you lived only six short weeks,
You were loved so very much.
I wish that I could hold you,
I long to feel your touch. I pray that in another life, We get the chance to meet. God brings and takes as he plans and we cannot complain but only pray that all that was for a better reason and a better plan in store for us. We have learnt lessons painfully but wont stop trying again and again and do swear by the time your brothers and sisters are made to come to this world we will be more than ready for them.
Sincerely Your Dad. ❤️
1455714526576.jpg

😀😀😀😀😀😀😛
 
And hellow,
Yec, Wema was pregnant,
Kuna daktari wa Regency ameniambia na hata kusafishwa kasafishiwa pale,
So tunaweza kumpa pole au kukaa kimya kuliko kumbeza.

not Regency ni Agakhan
 
Idriss nae ni kilaza sijaona, pesa za BBA kwenda kutafutia kick kumake headlines, nae atajoin kule TV1 very soon akahost kipind ka mwenzie mwisho mwampamba very soon!
Mwisho Mwampamba ni tofauti sana na huyu 'a$.$ hole' wa Arusha. Mwisho hakupata chochote kutoka BBA kwa kuwa hakuwa mshindi (mshindi alikuwa ni Cherise Makubale wa Zambia), na normally BBA humpa pesa mshindi tu, sio first runner. Inashangaza sana kwamba dogo badala ya kuwekeza pesa mahali ambapo atavuna faida (kama DSE), amewekeza kwa ka-haba!
 
kutoka kwa madame ngamia the real Tanzania thief
 
Inasikitisha na kuchekesha kwakweli
Nifah Dinazarde warumi Madame B Ms.Lincoln brenda18
Nilidhan baada ya kutoka BBA idris atakua miongoni mwa vijana watakao wa inspire vijana wenzao kwa kuanzisha kampuni ya filamu au biashara yeyote kama alivyodai apo awali, matokeo yake umaarufu umemzidi nguvu, nilichoka nilivyowaona clouds wakihojiwa na diva wanavyokiss na idris, duh mpaka nilichola
 
Back
Top Bottom