Kwa maneno haya ya Nahodha wa Asas FC kuna haja ya kupoteza muda Kesho kutizama wakicheza na Yanga SC?

Kwa maneno haya ya Nahodha wa Asas FC kuna haja ya kupoteza muda Kesho kutizama wakicheza na Yanga SC?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Tunafurahi Kesho kucheza na Yanga SC ambayo baadhi ya Wachezaji wetu Wanaishabikia na Wengine Wanaishabikia Simba SC. Na kuhusu Matokeo anayejua ni Mwenyezi Mungu pekee kama tutashinda au tutafungwa" amesema Nahodha wa Asas FC kutoka nchini Djibouti inayocheza na Yanga SC Kesho ( Jumapili ) Uwanja wa Chamazi.

Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM Usiku huu huu.

Nadhani sasa ni muda muafaka kwa CAF Kutizama upya Vilabu vitakavyoshiriki hii Michuano ya Kimataifa kuliko kuruhusu Vilabu dhaifu Kushiriki na ambavyo vinakuja tu Kugawa Points ( Alama ) na Karamu ya Magoli mepesi na Hat Tricks za Kipuuzi kutoka kwa Wachezaji ambao hawajui Kufunga zaidi ya Kubahatisha tu.
 
"Tunafurahi Kesho kucheza na Yanga SC ambayo baadhi ya Wachezaji wetu Wanaishabikia na Wengine Wanaishabikia Simba SC. Na kuhusu Matokeo anayejua ni Mwenyezi Mungu pekee kama tutashinda au tutafungwa" amesema Nahodha wa Asas FC kutoka nchini Djibouti inayocheza na Yanga SC Kesho ( Jumapili ) Uwanja wa Chamazi.

Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM Usiku huu huu.

Nadhani sasa ni muda muafaka kwa CAF Kutizama upya Vilabu vitakavyoshiriki hii Michuano ya Kimataifa kuliko kuruhusu Vilabu dhaifu Kushiriki na ambavyo vinakuja tu Kugawa Points ( Alama ) na Karamu ya Magoli mepesi na Hat Tricks za Kipuuzi kutoka kwa Wachezaji ambao hawajui Kufunga zaidi ya Kubahatisha tu.
Ilete timu yako icheze Kwa niaba yao
 
Hao waongo ni kuwaendea serious si unaona St George kidogo waabishwe na Wala urojo Singida alipoingia serious aliwafanya kitu mbaya hadi pale kagere alipowapa waoshe nyota
 
"Tunafurahi Kesho kucheza na Yanga SC ambayo baadhi ya Wachezaji wetu Wanaishabikia na Wengine Wanaishabikia Simba SC. Na kuhusu Matokeo anayejua ni Mwenyezi Mungu pekee kama tutashinda au tutafungwa" amesema Nahodha wa Asas FC kutoka nchini Djibouti inayocheza na Yanga SC Kesho ( Jumapili ) Uwanja wa Chamazi.

Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM Usiku huu huu.

Nadhani sasa ni muda muafaka kwa CAF Kutizama upya Vilabu vitakavyoshiriki hii Michuano ya Kimataifa kuliko kuruhusu Vilabu dhaifu Kushiriki na ambavyo vinakuja tu Kugawa Points ( Alama ) na Karamu ya Magoli mepesi na Hat Tricks za Kipuuzi kutoka kwa Wachezaji ambao hawajui Kufunga zaidi ya Kubahatisha tu.
Kwanza fahamu kuwa CAF hawahesabu magoli ya hizi hatua bali wanaanzia kwenye hatua ya makundi

Pili fahamu kuwa CAF wanajua kuwa hizi hatua za mchujo kuna timu nyingi hazina uwezo wa kushindana ndio maana hata jicho lao huanzia makundi

Tatu fahamu kuwa hatua za mchujo CAF hawana time nazo sana ndio maana hufanyika upuuzi mwingi ila ikifika hatua ya wanaojua mpira (kuanzia makundi) ndipo wanakuwa serious na mashindano kuanzia uamuzi, usajili wa wachezaji hadi udhamini

Refference;
Msimu uliopita mfungaji bora CAFCL alikuwa na magoli 6 lakini mechi dhidi ya zalan pekee mayele alifunga magoli 9 pamoja na kwamba timu yake ilitupwa nje ya mashindano katika mzunguko wa kwanza tu
 
Back
Top Bottom