Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Eti wakuu. Mitandao ya kijamii imeongeza ubaguzi wa kidini na rangi kati ya binadamu au imeongeza kuvumiliana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli, watu wanajua culture za wengine nk. Lakini pia imekuwa platform kwa waeneza chuki za kidini na ubaguzi wa rangi.Imeongeza integration, watu wanapata pisi za nje watu Wana Fanya biashara nje, ishu za race zinawekwa pembeni.
Watu wanapata ma connection ya kazi nje.
Yaani simple
Ukiona vp achana na hizo platformsKweli, watu wanajua culture za wengine nk. Lakini pia imekuwa platform kwa waeneza chuki za kidini na ubaguzi wa rangi.
Kweli, watu wanajua culture za wengine nk. Lakini pia imekuwa platform kwa waeneza chuki za kidini na ubaguzi wa rangi.
Hujaelewa mada mkuuUkiona vp achana na hizo platforms
Kuzipitia..
Ubaguzi wa dini,rangi umekuwepo tokea zamani na utaendelea kuwepo
Ova