Sasahivi itabidi niwaogope maana hali ishakuwa siyo!
Mnamatatizo mengo sasatutafanyeje hivyohivyo tutawavumilia sanasana nikujiadhari na nyinyi!!
mkuu pole sana hii ni thread yako ya pili leo unawalalamikia kaka...ndo wanawake hao you should know them from beforeNinashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!!
KK Kama uko Bongo soma UK wa 5 wa DailyNews Pull out ya leo-Women Magazine, kuna joke nzuri itakupa majibu , Topic " Shopping for a Husband"; of course ilishazunguka kwenye mitandao mara kadhaa sio mbaya kujikumbusha kutokana na mada uliyoanzisha.
Ahahahahaaaah!! Leo wameamka vizuri.Hii thread angekua ametoa m2 mwingine ingekua balaa maana wanawake humu wangecharuka balaa lkn ashangaa wanavyojubu kw upole km lizzy,DA,suzy
Hii thread angekua ametoa m2 mwingine ingekua balaa maana wanawake humu wangecharuka balaa lkn ashangaa wanavyojubu kw upole km lizzy,DA,suzy