Aisee!Tuna kazi..maana kila tunachofanya ni tatizo.Ukiwakataa unaringa..ukiwakubali mrahisi!Ukitaka vijisenti vyao unawachuna..usipotaka unajiona!Ukitulia nao unawaganda..ukiwaacha hujatulia!Tabu tupu!
Tuna kazi..maana kila tunachofanya ni tatizo.Ukiwakataa unaringa..ukiwakubali mrahisi!Ukitaka vijisenti vyao unawachuna..usipotaka unajiona!Ukitulia nao unawaganda..ukiwaacha hujatulia!Tabu tupu!
Haka ka yuzifuli sridi leo kanatupa mawazo ya upande wa pili ngoja tuendelee ku eksiploo dataz!Ah mie nimekupa tu na scenerio nyingine uone. Unajua most of these tabia mbaya huwa wanazisababisha wao na bahati mbaya sie hatuchambua tunafollow tu sasa madhara yakitokea twabebeshwa lawama sie...........anakupenda mwanzo kwa kukupa kila kitu wengine ukitoka nao bar ukiomba kulipa bill hataki, ukimnunulia zawadi hataki sasa anasahau kuwa anakuzoesha na ujumbe unaoupata wewe ni kuwa mwenzangu hapendi nimnunulie zawadi au nilipie bill............siku wakichacha na wewe ukaendelea kuishi ulivyozoeshwa ni kesi. Wnawake tuna kazi kweli kweli
Haka ka yuzifuli sridi leo kanatupa mawazo ya upande wa pili ngoja tuendelee ku eksiploo dataz!
Ninashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!![/QUOTE]
Sio wote ni hao unaowapata wewe
na wanaume wa leo akipata mwanamke mwenye mikwanja anamng'ang'ania kama supa glu
pesa zikiisha na penzi bye bye
Ninashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!![/QUOTE]
Sio wote ni hao unaowapata wewe
na wanaume wa leo akipata mwanamke mwenye mikwanja anamng'ang'ania kama supa glu
pesa zikiisha na penzi bye bye
Hili nalo neno
Hujambo Sara? Hivi mi nisipo kuhonga hata kidogo utajisikia vizuri?Hili nalo neno
Nimekusoma mahali wasema nisipo kuchuna utanipa mapenzi nisiopata ona, kuanzia leo ckuombi tena vocha. LolHehehehe lol
Ninashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!!
Nimekusoma mahali wasema nisipo kuchuna utanipa mapenzi nisiopata ona, kuanzia leo ckuombi tena vocha. Lol
Ahaaaaaa umeona tunafanana na naniihiindiyo maana siiachi na maana naipenda!!!nanaihangaikia hiyo nanihii ijiskie sisotenindugu na na nanii!!KK bana jana umenifurahisha leo unaniudhi kusema wanawake tu wanaume je?? Muone kwanza sura kama nanihiii
Pole ndio tatizo la kuchukua mwanamke ambae sio size yako, tafuta mnaeendana wala haitakua shida
Hiyo chuki uliyonayo kwa wanawake itakutesa maisha! Hata ukipata anayekupenda kweli hutaenjoy maana muda wote utakuwa unawinda makosa yake tu. Badilika KK.
KKNinashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!!