Ah mie nimekupa tu na scenerio nyingine uone. Unajua most of these tabia mbaya huwa wanazisababisha wao na bahati mbaya sie hatuchambua tunafollow tu sasa madhara yakitokea twabebeshwa lawama sie...........anakupenda mwanzo kwa kukupa kila kitu wengine ukitoka nao bar ukiomba kulipa bill hataki, ukimnunulia zawadi hataki sasa anasahau kuwa anakuzoesha na ujumbe unaoupata wewe ni kuwa mwenzangu hapendi nimnunulie zawadi au nilipie bill............siku wakichacha na wewe ukaendelea kuishi ulivyozoeshwa ni kesi. Wnawake tuna kazi kweli kweli