Makubwa! umeamkia wapi leo wewe
Sio kwamba tumeamka vizuri bali wadada wa jf ni watu wenye hekima na adabu zao hawaangalii mapenzi ni pesa, bali mapenzi ya kweli. Ni hao mnaokutana nao uswazi/mitaani ndio wanaowakaba makoo
Ha ha ha ha watu wengine mnachekesha kweli kila la heri bana na hongera sana mkubwa
Tunaambukizana!
Hao unaweza kuhesabu lakini hao nyinyi ndiyo mnawatongoza mngekuwa hamwatongozi mkajikalia na mibabu yenu hakungekuwepo hilo swala hao vijana mnawatumikisha kwa ngono ndiyo maana mnawapa pesa!!Hilo siyotatizo la wanaume!!Ninashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!![/QUOTE]
Sio wote ni hao unaowapata wewe
na wanaume wa leo akipata mwanamke mwenye mikwanja anamng'ang'ania kama supa glu
pesa zikiisha na penzi bye bye
Neno lipi lakuwahonga wanaume??Kwanza mimi silikubali kabisa!!Hili nalo neno
Nakuomba urekebishe kauri yako lasivyo nakuombea ban kwa mkulu mimi sina chuki na wanawake ila natazama matatizo yao kwa ujumla!!Hiyo chuki uliyonayo kwa wanawake itakutesa maisha! Hata ukipata anayekupenda kweli hutaenjoy maana muda wote utakuwa unawinda makosa yake tu. Badilika KK.
Aaaaaah!! maty acha kuniingiza ch kike bhaana cyo wadada wote hapa jf wana hekima na ...... maty nishushe nimeshafika!!
Hao unaweza kuhesabu lakini hao nyinyi ndiyo mnawatongoza mngekuwa hamwatongozi mkajikalia na mibabu yenu hakungekuwepo hilo swala hao vijana mnawatumikisha kwa ngono ndiyo maana mnawapa pesa!!Hilo siyotatizo la wanaume!!
Neno lipi lakuwahonga wanaume??Kwanza mimi silikubali kabisa!!
Nakuomba urekebishe kauri yako lasivyo nakuombea ban kwa mkulu mimi sina chuki na wanawake ila natazama matatizo yao kwa ujumla!!
Hahaha jf leo fulu vicheko kk umenichekesha huo mkwara eti utamuombea ban kwa mkulu kweli leo una hasira
Ninashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!![/QUOTE]
Sio wote ni hao unaowapata wewe
na wanaume wa leo akipata mwanamke mwenye mikwanja anamng'ang'ania kama supa glu
pesa zikiisha na penzi bye bye
Hili nalo neno
Kama umefurahi nakushukuru!!Hao unaweza kuhesabu lakini hao nyinyi ndiyo mnawatongoza mngekuwa hamwatongozi mkajikalia na mibabu yenu hakungekuwepo hilo swala hao vijana mnawatumikisha kwa ngono ndiyo maana mnawapa pesa!!Hilo siyotatizo la wanaume!!
Hahaha jf leo fulu vicheko kk umenichekesha huo mkwara eti utamuombea ban kwa mkulu kweli leo una hasira
we chwechwe ndoto gani kali hivyo lol, hujafika bado mpaka umalizie ndoto so tulia hivyo hivyo mesikia ee
Pole ndio tatizo la kuchukua mwanamke ambae sio size yako, tafuta mnaeendana wala haitakua shida
Sasa unajihadhari bila kujitenga na wanawake?Hama dunia ukajifiche ambapo hamna wanawake.Hapa utaishia kunyanyasika maana tupo kila kona!
dont remaind mi kuhusu hiyo ndoto mana nimeota kidume nimejikaza najifungua mtoto ....nilichokikuta asubuh kitandan ni balaa kumbe wakati nasuma kumbe c mtoto nilikua nasukuma ..... hah!
kweli leo umeamka vibaya lol. nimepata kicheko cha kusindikizia usingizi
Ninashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!!