Kwa mapenzi ya leo!!Mhnnn!!!

Kwa mapenzi ya leo!!Mhnnn!!!

Sio kwamba tumeamka vizuri bali wadada wa jf ni watu wenye hekima na adabu zao hawaangalii mapenzi ni pesa, bali mapenzi ya kweli. Ni hao mnaokutana nao uswazi/mitaani ndio wanaowakaba makoo

Aaaaaah!! maty acha kuniingiza ch kike bhaana cyo wadada wote hapa jf wana hekima na ...... maty nishushe nimeshafika!!
 
"kama utanipenda, hata nikiwa fukara... kama utanipenda hata nikiwa kilema....kama utanipendaaaa....", wimbo mzuri sana huu kaimba yule kaka Mad Ice, yaani ulimwengu huu wa leo, yakikufika ndio utajua ulikuwa waishi na nani!!!, Pole kaka Kiiza ndo malimwengu hayoo!!, Kuwa Uyaone
 
Ninashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!![/QUOTE]

Sio wote ni hao unaowapata wewe

na wanaume wa leo akipata mwanamke mwenye mikwanja anamng'ang'ania kama supa glu
pesa zikiisha na penzi bye bye
Hao unaweza kuhesabu lakini hao nyinyi ndiyo mnawatongoza mngekuwa hamwatongozi mkajikalia na mibabu yenu hakungekuwepo hilo swala hao vijana mnawatumikisha kwa ngono ndiyo maana mnawapa pesa!!Hilo siyotatizo la wanaume!!

Hili nalo neno
Neno lipi lakuwahonga wanaume??Kwanza mimi silikubali kabisa!!

Hiyo chuki uliyonayo kwa wanawake itakutesa maisha! Hata ukipata anayekupenda kweli hutaenjoy maana muda wote utakuwa unawinda makosa yake tu. Badilika KK.
Nakuomba urekebishe kauri yako lasivyo nakuombea ban kwa mkulu mimi sina chuki na wanawake ila natazama matatizo yao kwa ujumla!!
 
Aaaaaah!! maty acha kuniingiza ch kike bhaana cyo wadada wote hapa jf wana hekima na ...... maty nishushe nimeshafika!!

we chwechwe ndoto gani kali hivyo lol, hujafika bado mpaka umalizie ndoto so tulia hivyo hivyo mesikia ee
 
Hao unaweza kuhesabu lakini hao nyinyi ndiyo mnawatongoza mngekuwa hamwatongozi mkajikalia na mibabu yenu hakungekuwepo hilo swala hao vijana mnawatumikisha kwa ngono ndiyo maana mnawapa pesa!!Hilo siyotatizo la wanaume!!

Neno lipi lakuwahonga wanaume??Kwanza mimi silikubali kabisa!!

Nakuomba urekebishe kauri yako lasivyo nakuombea ban kwa mkulu mimi sina chuki na wanawake ila natazama matatizo yao kwa ujumla!!

Hahaha jf leo fulu vicheko kk umenichekesha huo mkwara eti utamuombea ban kwa mkulu kweli leo una hasira
 
Ninashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!![/QUOTE]

Sio wote ni hao unaowapata wewe

na wanaume wa leo akipata mwanamke mwenye mikwanja anamng'ang'ania kama supa glu
pesa zikiisha na penzi bye bye

Hili nalo neno

Hao unaweza kuhesabu lakini hao nyinyi ndiyo mnawatongoza mngekuwa hamwatongozi mkajikalia na mibabu yenu hakungekuwepo hilo swala hao vijana mnawatumikisha kwa ngono ndiyo maana mnawapa pesa!!Hilo siyotatizo la wanaume!!



Hahaha jf leo fulu vicheko kk umenichekesha huo mkwara eti utamuombea ban kwa mkulu kweli leo una hasira
Kama umefurahi nakushukuru!!
 
mapenz ya siku iz ni kama unaenda kuomba kaz maana inakubid uwasilishe cv zako kwanza na cha muhimu sana ni uwe na pesa....ndipo mwanamke atakuambia kwamba i love u dear...
 
Kaka hakuna mapenzi ya leo wala ya zamani, mapenzi ni mapenzi tu. Huyo dada inaonekana hakukupenda wewe bali alipenda ulichonacho. Sio wanawake wote wako hivyo acha kugeneralize. Pole sana Mungu atakupa ubavu wako siku moja na wala hatakusumbua.
 
KakaKiiza anaongea ukweli sana. IF ALMOST wadada wote (almost jamani )wako hivi utasemaje jamaa anaongopa.
Sitashangaa kuona anashambuliwa na haohao wanaomshambulia ndio making maker wa mapenzi dizaini hii.
Kiiza usijali dis unazopewa ila kawaida ukiwa mkweli watu hawakuona hufai flani hivi.


Wakaka nao ndio wanatrade mapenzi yaan mtu bila kukupa lizawadi kubwa hajiamini kuwa anapendwa.utaskia jamaa anasema ngoja nikamate hela nimtokee flani.
 
we chwechwe ndoto gani kali hivyo lol, hujafika bado mpaka umalizie ndoto so tulia hivyo hivyo mesikia ee

dont remaind mi kuhusu hiyo ndoto mana nimeota kidume nimejikaza najifungua mtoto ....nilichokikuta asubuh kitandan ni balaa kumbe wakati nasuma kumbe c mtoto nilikua nasukuma ..... hah!
 
Sasa unajihadhari bila kujitenga na wanawake?Hama dunia ukajifiche ambapo hamna wanawake.Hapa utaishia kunyanyasika maana tupo kila kona!

na ndo maana hata sie tunakuja kuwapeni vichapo sana tukisha waoa maana tunalipa yale mnayotufanyia sisi ..niangaishe tu lakin kwenye ndoa lazima ukipate
 
dont remaind mi kuhusu hiyo ndoto mana nimeota kidume nimejikaza najifungua mtoto ....nilichokikuta asubuh kitandan ni balaa kumbe wakati nasuma kumbe c mtoto nilikua nasukuma ..... hah!

kweli leo umeamka vibaya lol. nimepata kicheko cha kusindikizia usingizi
 
Ninashindwa kuelewa kwamba mappenzi yaleo tofauti na yazamani!!utasikia Mimi mwanaume suruali mie wanini kweli wadada????
Je mnahitaji mwanaume gauni??Hata kama kipato ndiyo wanaume tunyanyasike hivi!!Nilikuwa na mpenzi wangu nikamwambia ninampango wakuuza huu mkweche wangu!!akang'aka sasa ukiuza tutakuwa tunakutanaje??nikamwambia siunapanda daladala!!akasema mimi daladala mhnn naona utanikosa usije kulalamika ikitokea bwana anausafiri!!Hebu fikiria inamaana hapo kinachofanya mahusiano yawepo ni Mkwanja bila mkwanja mapenzi yameisha!!Hao ndio wanawake waleo!!

Pole sana KK.

http://www.youtube.com/watch?v=ch7txUjCmiA&feature=fvwrel
 
Back
Top Bottom