Wengi walienda kushangaa muujiza wa kupona risasi 18. Huyu jamaa ni Binadamu au jiniKuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi walienda kushangaa muujiza wa kupona risasi 18. Huyu jamaa ni Binadamu au jiniKuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Tofauti ya kwenda kumuangalia Diamondi na na kumshangaa mshamba wa NdegeKuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Kimbieni na maboksi ya kura kama kawaida yenuEndelea kujipa matumaini.
Nelson Mandela walisema hataupata urais labda dunia ipasuke YAKO WAPI LEO?Endelea kujipa matumaini.
na kuna tofauti kati ya fiesta na wapiga kura.Kuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Unahisi mrema hakushinda!!?Kama unazijua vizur siasa za kwetu hapa usilinganishe nyakati maana Kuna kushinda kwenye sanduku na anaetangazwa kushinda kwa mujibu wa tume.Kuna mwanasiasa aliyepata mapokezi makubwa kumzidi Mrema wa 1995?.
Aliishia wapi?. Kama mleta mada ni mgeni kwenye siasa za TZ ni lazima utekwe na matukio ya muda tu.
Ili mtu aongoze awe na sifa zipi kisheria?Wengi washangaaji tu, Lissu uwezo wa kuongoza nchi hana, CHADEMA ni dhahifu sana na ikitokea siku wakaongoza watakuwa mafisadi wakubwa sana, walionesha madhaufu yao makubwa sana 2015
Lishalopita sio ndwele ganga lijalo.Kuna mwanasiasa aliyepata mapokezi makubwa kumzidi Mrema wa 1995?.
Aliishia wapi?. Kama mleta mada ni mgeni kwenye siasa za TZ ni lazima utekwe na matukio ya muda tu.
Hiki ndiyo kichaka moja wapo kinachotumika ila karibuni kitachomwa tuKuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Hutaishi kuwa analytical! That's the issue he is talking about. Haki itendeke. Kwa nini matokeo ya uchaguzi mkoa wa Dar yalifutwa mwaka 1995?Kuna mwanasiasa aliyepata mapokezi makubwa kumzidi Mrema wa 1995?.
Aliishia wapi?. Kama mleta mada ni mgeni kwenye siasa za TZ ni lazima utekwe na matukio ya muda tu.
We umejuaje watu wapo serious umeingia kwenye mioyo yao?Huyu sio sawa na Mrema wa 1995 watu walikuwa wanamshangilia tu,mwaka huu watu wako serious
Uko sahihi Sana, unaweza kuona unapendwa Sana na raia kumbe ni wapambe tu wapiga vuvuzela lakini unapofika wakati wa kupiga kura ndo balaa, Kati ya watu 100 wanaopiga kura ni 30 tuKuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Hapa ndipo mnapoanzia kuiba kura.Kuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Hivi kama kuzungumza tuu watu hawana hamu nawe hadi Diamond au Kiba na TOT waje waimbe ndio kura watakupa kweli?Kuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Mkuu kuwa mwelewa Basi me sijazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa.
Me nimezungumzia siyo Kila anaempokea Lissu ndo atampa kura.. wengine ni mamluki tu.