Uchaguzi 2020 Kwa mapokezi makubwa anayoyapata Lissu, chondechonde nawaomba NEC na Vyombo vyote vya Dola

Uchaguzi 2020 Kwa mapokezi makubwa anayoyapata Lissu, chondechonde nawaomba NEC na Vyombo vyote vya Dola

Huyu sio sawa na Mrema wa 1995 watu walikuwa wanamshangilia tu,mwaka huu watu wako serious
Wewe uko mioyoni mwa watu hao unaowasema? Jana nilikuwa naongea na baadhi ya watu waliokuwa viwanja vya furahisha Mwanza wananiambia hapakuwa na lolote la maana toka kwa Lissu zaidi ya vijembe tu, kwa kauli hiyo utagundua nini kinachoendelea. so far walizidisha muda wa kampeni na hiyo yote ni kutafuta sababu za kulalamika pindi wakiondolewa kwa nguvu na vyombo vya dola
 
Lowasa sio mtu ule Ni mzimu alipokewa na mafuriko ya watu na bado aliisoma namba sijui huyu jamaa na rasharasha zake labda Kwa maneno yako hayo wanaweza yafanyia kaz.
 
Umesema kweli mkuu ila Kuna jamaa yangu mjeda anakuambia vijana wengi walioko jeshini intake mpya mpya wanapenda haki na mabadiliko sasa sielewi anamaanisha nini.
Ni true mabosi zao ndio wanufaika,wanasema upole wa wananchi ndio unawaangusha wanakosa pa kuanzia nao wanataka mabadiliko
 
CCM huwa hawashindi zaidi ya kubebwa na NEC ,safari hii sasa basi "MKONONGO" aka "JIKONO JANDAMA" atafute shughuli nyingine...Kinachotakiwa tukapige kura na kuzilinda ...Mawakala wapeleke taarifa sahihi MAKAO makuu Chadema ili wafanye majumuisho na wakiona CDM imeshinda halafu tume wanaleta uhuni hapo tunasema Mchezo umekwish kuibiwa basi tunaingia FRONT kukinukisha mpaka wateme NDOANO.
 
Kiini cha haya yanayofanyika Sasa MSINGI wake ni matokeo ya UCHAGUZI wa Serikali za mitaa.
Basi naomba uelezee mapokezi ya Tl right now yanahusiana veep na uchaguzi wa serikali za mitaa. Labda ndo nitakuelewa mkuuu.

Note: sifungamani na chama chochote mkuu.


 
Wengi washangaaji tu, Lissu uwezo wa kuongoza nchi hana, CHADEMA ni dhahifu sana na ikitokea siku wakaongoza watakuwa mafisadi wakubwa sana, walionesha madhaufu yao makubwa sana 2015
Kama jiwe kaweza nani ashindwe? Hata wewe pamoja na ujinga wako amini unaweza
 
Unahisi mrema hakushinda!!?Kama unazijua vizur siasa za kwetu hapa usilinganishe nyakati maana Kuna kushinda kwenye sanduku na anaetangazwa kushinda kwa mujibu wa tume.
Kukaa mikutanoni na kushangiliwa sio kigezo cha ushindi.

Wengine wezi wa simu, wengine wafuata mkumbo, wengine wanashangaa tu.

Wapiga kura katika wingi ule wa watu wanaokwenda mikutanoni ni wachache.
 
Kuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Sawa tunasubiri hao wapiga kura waje waambie! Lakini mkae mkijua siku mkipora kura za Lissu tunaingiza raia barabarani, safari hii hatuibiwe kiboya!
 
Kama jiwe kaweza nani ashindwe? Hata wewe pamoja na ujinga wako amini unaweza

Huyo jiwe anao uthubutu mkubwa na ujasiri unaozungumziwa duniani kote.

Ni rahisi kumponda ukiwa nyuma ya keyboard lakini kuingia kazini na kufanya anayofanya ukiongozwa na nguvu yake ya kazi sio jambo dogo.
 
Kuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
asante kwa singeli mpya comrade.

Lissu hawezi kurudi Tz.... imechuja

Lissu akirudi Tz atakamatwa... imechuja

Lissu hatateuliwa na CDM kuwa mgombea urais..... imechuja

Oh NEC itamwengua Lissu.... imechuja

singeli mpya iliyoingia hivi punde "nyomi si wapiga kura".... hii nayo imebakiza siku chache tu kuchuja!
 
Kukaa mikutanoni na kushangiliwa sio kigezo cha ushindi.

Wengine wezi wa simu, wengine wafuata mkumbo, wengine wanashangaa tu.

Wapiga kura katika wingi ule wa watu wanaokwenda mikutanoni ni wachache.

Hivi kushangiliwa sio ishara ya kukubalika? Hivi kwenda mkutanoni bila kuwa na wasanii sio ishara ya kukubalika na confirmation? Sasa kwa nini yule mgombea wa CCM wa kiti cha Urais anataka kura za Lissu tena kwa rushwa? Siku matokeo ya Urais yakianza kuchunguzwa ndio utaona strong positive association ya wingi wa watu na waing wa kura za mgombea husika.
 
Lishalopita sio ndwele ganga lijalo.


Kwani mwanzo wakutumia simu yako ya kwanza ni hiyo iliyomkononi mwako sasahivi?
Ni ujumbe wenye kuwakumbusha wanaozijua siasa za nchi hii miaka ya sasa.

Wananchi wa TZ ni kama wajumbe, wanakuchekea na kukutendea ukarimu mkubwa lakini wakiingia katika chumba cha kupiga kura wanakuchinja pasipo kukutazama usoni.
 
Hivi kushangiliwa sio ishara ya kukubalika? Hivi kwenda mkutanoni bila kuwa na wasanii sio ishara ya kukubalika na confirmation? Sasa kwa nini yule mgombea wa CCM wa kiti cha Urais anataka kura za Lissu tena kwa rushwa? Siku matokeo ya Urais yakianza kuchunguzwa ndio utaona strong positive association ya wingi wa watu na waing wa kura za mgombea husika.
Hujamuelewa Magufuli na hujaelewa kwanini maneno yale kayasema pale Ikungi.
 
Jiandae kisaikolojia maana unashindwa kutofautisha umati wa watu na upigaji kura. Kimsingi kuna watu wanakwenda kwenye kampeni za Lissu kumshangaa na kucheka tu kwa vile vituko na maneno yake ya kejeli kwa Rais Magufuli na Serikali yake. Maneno anayoyaongea Lissu kimsingi ni yaleyale tu ya kejeli kejeli tu, kujiona yeye anajua sana kila kitu kumbe mweupe tu. Asilimia zaidi ya themanini ya Watanzania wapiga kura walishaamua kumpa kura JPM hilo halina mjadala na nikiangalia upande wa Wabunge Chadema inaweza kupambana labda na kupata katika Majimbo ya Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Kawe, Bunda Mjini, Arusha Mjini, Tarime Mjini na Mikumi ila kwingineko CCM itapata viti vingi mno vya ubunge
Nani kasema atampa kura jiwe zaidi ya wewe?
 
Back
Top Bottom