Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
Hata Mrema 1995 kura alizipata nyingi tu. Unajua kwa nini uchaguzi ulifutwa dsm, saa sita usiku?Huyu sio sawa na Mrema wa 1995 watu walikuwa wanamshangilia tu,mwaka huu watu wako serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mrema 1995 kura alizipata nyingi tu. Unajua kwa nini uchaguzi ulifutwa dsm, saa sita usiku?Huyu sio sawa na Mrema wa 1995 watu walikuwa wanamshangilia tu,mwaka huu watu wako serious
Hata Mrema 1995 kura alizipata nyingi tu. Unajua kwa nini uchaguzi ulifutwa dsm, saa sita usiku?Huyu sio sawa na Mrema wa 1995 watu walikuwa wanamshangilia tu,mwaka huu watu wako serious
Lakini si jambo la kupuuza kwa sababu ya mazoea. Watu wanabadilikaKuna mwanasiasa aliyepata mapokezi makubwa kumzidi Mrema wa 1995?.
Aliishia wapi?. Kama mleta mada ni mgeni kwenye siasa za TZ ni lazima utekwe na matukio ya muda tu.
Kuna mafisadi kuliko viongozi wa Ccm kaka ?!Wengi washangaaji tu, Lissu uwezo wa kuongoza nchi hana, CHADEMA ni dhahifu sana na ikitokea siku wakaongoza watakuwa mafisadi wakubwa sana, walionesha madhaufu yao makubwa sana 2015
Wakione Cha motoKimbieni na maboksi ya kura kama kawaida yenu
kisingizio cha kuwa vijana sio wapiga kura sasa juzi segerea kulikua na makundi yote vijana na wazee na wa lika la kati,CCM isije anza kutumia marungu bwana watu wanahasira na miaka mitano iliyopita.Kwetu wanasema umeme umefika lakini ukifika pale unajiuliza kipi kilikua bora katika kipindi cha kikwete na Profesa Muhongo waliosambaza vijiji 2000 vya mwanzo lakini hawakua wanafanya piloting style kama ilivyosasa ya kupitisha umeme kijiji kizima transform moja na kitongoji kimoja kwa heri.Kuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Lakini wapiga kura si ni hawa hawa wananchi ?!. Au wapiga kura ni malaika ?Tatizo ninyi hamtaki kuambiwa ukweli siyo anayeenda kumsikiliza Lissu au Magufuli ndo atawapigia kura wengine ni mamluki tu.
Nchi inaongozwa kwa katiba na sheria kupiti mifumo thabiti na vyombo tasii zilizojengwa imar. Nchi inayomtegemea mtu mmoja lazima shida iwepo. Lisu amezungumzia suala la katiba na mifimo imara. Hili ndilo muhimu. Hizi sio enzi za mitumeWengi washangaaji tu, Lissu uwezo wa kuongoza nchi hana, CHADEMA ni dhahifu sana na ikitokea siku wakaongoza watakuwa mafisadi wakubwa sana, walionesha madhaufu yao makubwa sana 2015
Kuna tofauti kati ya mapokezi na wapiga kura. Usisahau hilo tafadhali.
Mwanza, Tanzania
Kwani hawezi fanya kazi zingine akaishi,ajira yake inakoma October akajiajiri.Mchato miaka 5 inamtosha sana
Mkuu jibu lako haliwezi kubadili ukweli kwamba Kila anaempokea Lissu au Magufuli kwa shangwe ndo atampa kura Mkuu.Lakini wapiga kura si ni hawa hawa wananchi ?!. Au wapiga kura ni malaika ?