Uchaguzi 2020 Kwa mapokezi makubwa anayoyapata Lissu, chondechonde nawaomba NEC na Vyombo vyote vya Dola

Uchaguzi 2020 Kwa mapokezi makubwa anayoyapata Lissu, chondechonde nawaomba NEC na Vyombo vyote vya Dola

Wanakuja na kupiga kura na kurudi majumbani.

Kuna wale wanaitwa silent majority huwa hawana kishindo cha kelele za mikutano ya kampeni wanaijua kazi yao.

Muulize Hillary Clinton alichokipata kutoka kwa hao Silent Majority.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So hao so called silent majority wako upande wenu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shida inakuja sio wote walienda kuhakiki kwenye daftari la mpiga kura
 
Baada ya Tarehe 28/10/2020 Unaweza kutabiri kutakua na nyuzi gani humu.
Kama huwezi kutabiri hilo basi siasa Za Tanzania huzijui.
Kwa mafuriko ya 2015 ukiyafananisha na mafuriko ya 2020 Unaweza kupata picha wapiga kura wa mwaka huu wakoje na watafanya nn.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Wengi washangaaji tu, Lissu uwezo wa kuongoza nchi hana, CHADEMA ni dhahifu sana na ikitokea siku wakaongoza watakuwa mafisadi wakubwa sana, walionesha madhaufu yao makubwa sana 2015
Uwezo wa kuongoza nchi hana kana kwamba anaenda kuibeba mgongoni ama Tena huyu ndio anatakiwa sasa kuliko jana Mungu mbariki Lisu na Taifa kwa ujimla
 
Ni sahihi maana watakaopoteza in case Chadema inashinda ni chama cha ccm kuanzia mwenyekiti wao na wafuasi na viongozi wengine na sio wakuu wa vyombo vya dola au watumishi nk maana wenyewe kwa nafasi zao wapo kikatiba,kwao hakuna kitakachobadilika labda muda wao uishe na tena ikiwa watasimama na wananchi watakua sehemu ya fadhila kwenye uongozi mpya.

Mabadiliko hayatafanyika ghafla ya kimfumo na kiungozi ,it will take gradual process ili kusilete damage na ombwe kwenye uchumi na uongozi,kwa hiyo naungana na mtoa mada maana wananchi tutachagua upande wa pili.
 
Hata wakiengua si kuna deadline? Sasa baada ya uchaguzi sikitanuka kwenye document zao walizoshindia? Mimi naona Kuna ushahidi unatafutwa.
 
Ndugu, hayo maneno ni kama umedondosha mavi kwenye tundu la choo. Yaani ndio wanabuni lipi la kuongezea ili Magu afurahi
 
Kwenda kwenye mikutano ni jambo moja. Kwenda kupanga foleni kwa masaa kadhaa na kupiga kura ni jambo jingine. NEC kujumuisha kura na kuzitangaza kama zilivyo ni jambo jingine kabisaa

CHADEMA lazima waweke mikakati thabiti. Haitokuwa na maana kuishia kufurahi kuona nyomi kwenye mikutano ilihali most ya hao labda hawana sifa wala muda wa kwenda kupiga kura
 
Tundu Lisu ni mgombea pekee aliye tishio kwa Magufuli, profesa magufuli anatamani lile tukio la Dodoma 2017 lijirudie tena ili akose mpinzani hai.
Ila hii kauli kila msimu wa uchaguzi ipo..Huwa najiulizaga sana huko Tz nini kinaendelea?.
Maan kila kipindi cha uchaguzi CDM lazima wawe na mgombea ambay wanasema "dawa yao" lkn uchaguzi ukiisha hakuna cha MAANA
 
Sawa tunasubiri hao wapiga kura waje waambie! Lakini mkae mkijua siku mkipora kura za Lissu tunaingiza raia barabarani, safari hii hatuibiwe kiboya!
[emoji28][emoji28][emoji28]kauli cha CUF ngangari ndio zilikuwa zinatenda..sio CDM
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na mtu asiye na busara na hekima za kiungozi kama Lissu.
 
Kwahiyo walio hakiki ni wa CCM tu?
Sijamaanisha hivyo unawaza ujinga.
Naamaanisha kuwa ukichungiza wote wanaojitokea popote kwenye kampeni wwngi wao sio wapiga kura.yaani sio wote walienda kuhakiki
 
Umesema kweli mkuu ila Kuna jamaa yangu mjeda anakuambia vijana wengi walioko jeshini intake mpya mpya wanapenda haki na mabadiliko sasa sielewi anamaanisha nini.

Kimsingi maveteran waliosalia kwenye nyadhifa ndio wakwamishaji wakuu wa mabadiliko,yaani kizazi cha watu waliozaliwa miaka ya hamsini hadi sitini na uzuri ni kwamba ndani ya miaka 15 ijayo perhaps by 2035 lazima kutatokea mabadiliko ya uongo kwa sababu wengi wa hao mababu watakuwa wametoweka duniani.

Hatuwezi kubaki na mifumo na lichama lilelile lililoshindwa,wachumia njaa dizaini ya akina polepole sijui nape hawana lolote na pia naamini vizazi vipya vya vijana wa ccm na upinzani ni wapenda mabadiliko.
 
Back
Top Bottom