Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Usidanganywe na umati wa mikutanoni wale watu siku ya uchaguzi huwaoni wakienda kupiga kura.Mku usifananishe Mrema na Lisu hawa ni watu wawili tofauti na katika zama tofauti kisiasa na kimaisha