Napenda kutoa shukrani zangu kwa jukwaa hili hasa members kwa jinsi mnavyo changia mijadala mbalimbali. Kwa namna ya pekee naushukuru uongozi wa jukwaa hili.
Kwa mara nyingine tena nilileta humu KERO fulani na ikatatuliwa.
Ikumbukwe Jana nilileta habari ya makarani kunyanyaswa na viongozi wa ngazi za mkoa na wilaya katika baadhi ya maeneo ya nchi yetu.
Habari husika >> Usalama wa Taifa saidieni kumpa Rais Samia taarifa sahihi
Naomba ieleweka kuwa serikali ilishatoa fedha zilikuwepo maeneo hayo ila ukiritimba ulipelekea wakarani kunyanyasika. Lakini habari hiyo nilipoiposti humu muda mfupi baadaye pressure ilikuwa kubwa mno kwa waratibu wa sensa wilaya na Kwa Wakurungenzi hatimaye makarani maeneo korofi karibu yote walipata fedha zao.
"Asante JamiiForums, information is power"
Kwa mara nyingine tena nilileta humu KERO fulani na ikatatuliwa.
Ikumbukwe Jana nilileta habari ya makarani kunyanyaswa na viongozi wa ngazi za mkoa na wilaya katika baadhi ya maeneo ya nchi yetu.
Habari husika >> Usalama wa Taifa saidieni kumpa Rais Samia taarifa sahihi
Naomba ieleweka kuwa serikali ilishatoa fedha zilikuwepo maeneo hayo ila ukiritimba ulipelekea wakarani kunyanyasika. Lakini habari hiyo nilipoiposti humu muda mfupi baadaye pressure ilikuwa kubwa mno kwa waratibu wa sensa wilaya na Kwa Wakurungenzi hatimaye makarani maeneo korofi karibu yote walipata fedha zao.
"Asante JamiiForums, information is power"