Uchaguzi 2020 Kwa mara nyingine CHADEMA hawana pesa za kampeni kama 2015

Uchaguzi 2020 Kwa mara nyingine CHADEMA hawana pesa za kampeni kama 2015

Basi hongereni CCM kwa hili,mtapira bila kupingwa,Kila mwanachama wenu atakuwa tajiri, USSR@Bia yetu,Kawe yetu .etl hamnata hangaika tena 7,000/- kwa siku kwa kuwa mtakuwa na fedha za kutosha
ccm ina mtaji wa billion 20+ na wanachama kibao
 
watembeze bakuli kwa mazezeta wao,ruzuku inaingia 326m kwa mwezi,wabunge wao wanakamuliwa kila mwezi.Hela yote hiyo inakwenda wapi? Nitaongea vizuri na kamanda mbowe anioneshe mganga aliyemtumia kuwaloga hadi mkawa wapole namna hii hata hamhoji hela inapokwenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dhiki inawasumbua sana chadema
 
Njaa imepiga hodi walitumia pesa kuliko kipato chao
Zile helikopta na ndege za Wafadhili marafiki wa Mzee Ndesamburo , Dk Slaa na Lowasa hamtaziona Tena kwenye kampeni mwaka huu uchaguzi huu imekula kwenu
 
Mkuu hao jamaa wakitangaza leo kuwa wanahitaji mchango wa campaign week moja tu wanapata.
Kwani ccm ikitangaza itakosa hivi unjielewa lakini
 
Ukisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na hawana pesa hata ya mafuta ya kumzungusha mgombea wa urais.

Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.

Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.

My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.

USSR
tunahitaji habari zenye ushahidi na sio blabla tu. ili tutoe haki kwa unao walaumu.
 
Ukisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na hawana pesa hata ya mafuta ya kumzungusha mgombea wa urais.

Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.

Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.

My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.

USSR
Jomba usituchekeshe. Si wauze lile trekta lililokamatwa kule Ifakara police station ambayo mwenyekiti Mbowee alichukuwa fedha za uchaguzi za ruzuku kununulia. Waende kumuuliza Mbunge Lijualikali awape mbinu za kupata hayo mahela
 
Ukisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na hawana pesa hata ya mafuta ya kumzungusha mgombea wa urais.

Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.

Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.

My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.

USSR
Weka ushahidi kama bank statment,,,sio unakurupuka na maneno kama mwali wa kizaramo asiefundwa!.. Toa Supportive evidence ,,,hii ni JF sio Facebook
 
basi sawaa
 

Attachments

  • 1878531_tapatalk_1539787111557.jpeg
    1878531_tapatalk_1539787111557.jpeg
    115.7 KB · Views: 2
Mkitaka kupima kama CHADEMA ni chama dhaifu, hakina fedha, na hakikubaliki kwa wananchi ruhusuni mikutano ya hadhara ya siasa, msibadili sheria za usimamizi wa kura kwenye vituo, ondoe polisi matumizi ya polisi kwenye uchaguzi, ruhusuni matokeo ya Urais yatangazwe kwenye vituo vya kupigia kura. Ndipo utajua kama CHADEMA hawana pesa za Uchaguzi au vipi.

Mnaogopa CHADEMA mpaka inakera! Iweje chama hakina pesa za kujiendesha halafu mnahangaika kuoketeza ushahidi ili mkifute kisiingie kwenye uchaguzi mkuu?

CCM kimekaa madarakani kwa mabavu tangu 1995 mnaogopa CHADEMA kama kifo!
 
Ukisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na hawana pesa hata ya mafuta ya kumzungusha mgombea wa urais.

Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.

Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.

My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.

USSR
Tumia akili wewe, sio kila mwanamke au mwanaume aliyeachika asemalo kwa mtalaka wake aliyeishi naye zaidi ya miaka 10 wewe kulibinulia mdomo juu kama reference utafi() bure!
"Yule aliyekuwa mume wangu ana kibamia" wewe unatoka kutangaza eti kwa vile kasema? Erevuka kijana, mbona alikuwa naye siku zote na alikuwa anamwita 'sweetie'?
 
TANU kilikuwa chama cha ukombozi,usifananishe na genge la wahuni. Subiri Pccb ifaye kazi mtapata jibu.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app

Cdm Ni chama cha ukombozi toka kwa mkoloni mweusi. Hao takukuru wanatumika kwenye siasa chafu. Kuna wakati walipelekewa ushahidi wa madiwani Arusha kuhongwa na Mnyeti, wakaishia kutoa majibu ya kisiasa. Hao wanaowatumia takukuru na taasisi nyingine za kimamlaka kufanya siasa chafu, ndio hao hao sasa hivi wanapeleka mswaada wa kutoshitakiwa kwa hizi siasa chafu wanazofanya kwa sasa.
 
Back
Top Bottom