USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhiki inawasumbua sana chademawatembeze bakuli kwa mazezeta wao,ruzuku inaingia 326m kwa mwezi,wabunge wao wanakamuliwa kila mwezi.Hela yote hiyo inakwenda wapi? Nitaongea vizuri na kamanda mbowe anioneshe mganga aliyemtumia kuwaloga hadi mkawa wapole namna hii hata hamhoji hela inapokwenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tunahitaji habari zenye ushahidi na sio blabla tu. ili tutoe haki kwa unao walaumu.Ukisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na hawana pesa hata ya mafuta ya kumzungusha mgombea wa urais.
Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.
Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.
My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.
USSR
Jomba usituchekeshe. Si wauze lile trekta lililokamatwa kule Ifakara police station ambayo mwenyekiti Mbowee alichukuwa fedha za uchaguzi za ruzuku kununulia. Waende kumuuliza Mbunge Lijualikali awape mbinu za kupata hayo mahelaUkisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na hawana pesa hata ya mafuta ya kumzungusha mgombea wa urais.
Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.
Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.
My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.
USSR
ccm ina mtaji wa billion 20+ na wanachama kibao
ccm ina mtaji wa billion 20+ na wanachama kibao
Tunazo billion 20+ sisi ruzuku tuanitumia kwa umakini
Weka ushahidi kama bank statment,,,sio unakurupuka na maneno kama mwali wa kizaramo asiefundwa!.. Toa Supportive evidence ,,,hii ni JF sio FacebookUkisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na hawana pesa hata ya mafuta ya kumzungusha mgombea wa urais.
Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.
Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.
My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.
USSR
Tumia akili wewe, sio kila mwanamke au mwanaume aliyeachika asemalo kwa mtalaka wake aliyeishi naye zaidi ya miaka 10 wewe kulibinulia mdomo juu kama reference utafi() bure!Ukisikia CHADEMA imesusia uchaguzi sio kwa sababu ya tume huru au sio huru kuna jambo limejificha na sasa wabunge wanaojiandaa kuondoka wanatoboa siri kuwa kuna ukata wa hali ya juu chamani na hawana pesa hata ya mafuta ya kumzungusha mgombea wa urais.
Madai kuwa pesa za chama hazijulikani zilipo na madeni juu zimeibuka upya kuhusu kama mwaka 2015 ambapo CHADEMA ilibidi wawapige vikumbo wagombea wa ukawa Professor Lipumba na Dkt. Slaa na kumwangukia Lowassa aliyedhamini campaign ndani ya wiki mbili tu akitokea CCM.
Baada ya dili la membe kuloga ambaye walitegemea atumie alichonacho sasa hali ni tete na hawajui wafanye nini.
My take: Wameshindwa kabla ya kuanza.
USSR
TANU kilikuwa chama cha ukombozi,usifananishe na genge la wahuni. Subiri Pccb ifaye kazi mtapata jibu.Kwani Nyerere alipoenda kudai uhuru UNO TANU ilikuwa na mamilioni ya hela?
TANU kilikuwa chama cha ukombozi,usifananishe na genge la wahuni. Subiri Pccb ifaye kazi mtapata jibu.
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app