Indianapolis
Member
- Nov 25, 2018
- 77
- 44
Haya sasa christmas nimeambiwa tuende mkoa mi sijawahi kukaa nje ya dar mida kama hii.nitawezaje kukaa mbali na demu wangu wahuni sio watu mara wakamgonga itakuaje sa mkoani hata nikienda ile pasaka hakuna vaibu wala nini wana wanakaa kukuzinga zinga tu mara naomba nguo mara kiatu mara kuna demu anakuzimia shee unaenda kumuangalia demu mchafu tu mi niende mkoa au nibaki dsm?