Kwa mara ya kwanza Dar joto linasoma 27 degree

Kwa mara ya kwanza Dar joto linasoma 27 degree

26 kawaida sana, Mwezi wa sita nafikiri linafikia hadi nyuzi 18 muda wa alfajiri..wewe hufuatilii tu
Mwezi wa sita na saba linafika 17 c hasa asubuhi na jioni. Kuna wakatililikuwa chini ya hapo, nadhani 15 c
 
it’s 25 C saivi, huku nje ya mji swaafi kabisa na shuka nimejifunika
 
Kwa Mara ya kwanza kivipi???

Kwani haijawahi kutokea????

Acha ushamba wewe.
🙏
 
Back
Top Bottom