macho_mdiliko Platinum Member Joined Mar 10, 2008 Posts 25,191 Reaction score 48,765 Nov 18, 2023 #21 Johnny Sack said: 26 kawaida sana, Mwezi wa sita nafikiri linafikia hadi nyuzi 18 muda wa alfajiri..wewe hufuatilii tu Click to expand... Mwezi wa sita na saba linafika 17 c hasa asubuhi na jioni. Kuna wakatililikuwa chini ya hapo, nadhani 15 c
Johnny Sack said: 26 kawaida sana, Mwezi wa sita nafikiri linafikia hadi nyuzi 18 muda wa alfajiri..wewe hufuatilii tu Click to expand... Mwezi wa sita na saba linafika 17 c hasa asubuhi na jioni. Kuna wakatililikuwa chini ya hapo, nadhani 15 c
SteveMollel JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 8,797 Reaction score 25,177 Nov 18, 2023 #22 Labda unaishi Malamba mawili.
The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 5,879 Reaction score 11,318 Nov 19, 2023 #23 it’s 25 C saivi, huku nje ya mji swaafi kabisa na shuka nimejifunika
CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 8,542 Reaction score 18,340 Nov 19, 2023 #24 Kwa Mara ya kwanza kivipi??? Kwani haijawahi kutokea???? Acha ushamba wewe. 🙏