Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
- Thread starter
- #21
Nipo mjini kwenu kitambo, nipo moja ya sehemu hizo zenye miinuko ila sikuwahi kuona ukungu mwingi namna hii, hivyo nikakumbuka nyumbaniMbona ni karibu kila msimu huu kuna baadhi ya siku huwa hivyo nyakati za asubuhi na mapema, haswa vitongoji vilivyo miinukoni kama Mbezi Mwisho, Goba, Madale, Tegeta Wazo, Mpiji, Kisukuru, Pugu n.k...